Picha: Hamisa Mobeto amuonesha mwanaye baada ya kufikisha miezi 6
Mwanamitindo Hamisa Mobeto ambaye sasa ni mama, amepost picha za mtoto wake huyo wa kike aliyefikisha umri wa miezi 6. Mobeto ambaye amezaa na Dj mkongwe nchini, Majay amepost picha za mtoto huyo Instagram na kuandika; “Happy six month my little mermaid I love you Mwanangu #GodWin @Misfansy @Misfansy #cutekidsclub”. Kwenye picha nyingine ameandika; “Mapozi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Hamisa Mobetto amuonesha mwanaye baada ya kufikisha miezi 6
10 years ago
Bongo Movies11 Apr
Picha: Hizi za Hamisa Mobeto Akiwa Mjamzito Zawa Gumzo
Picha za mwanamitindo ambaye pia amewahi kucheza filamu kadhaa, Hamisa Mobeto akiwa na ujauzitoo zimewashangaza wengi leo huko kwenye mtandao wa Instagram kwani sio tu ameonenaka na ujauzito bali habari zilizotoka na picha hizo ni kwamba mwanadada huyo tayari ameshajifungua mtoto wa kike siku kadhaa zilizopita.
Tofauti na mastaa wengi , ujauzito wa staa huyu ulikuwa siri na wengi hatukujua. Hongera sana Hamisa Mobeto.
Mzee wa Ubuyu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60eud3pwRwJFIV8lYSy*9Jnf1x4IU2zJCTuciByPuAN2G4TfqHdzPjOUOtp7KLmE5c8Dw8iqHtPKDJNf6CS3RKEMD/hamisa.gif)
HAMISA MOBETO: NDOA YANGU ITAZINDULIWA MITANDAONI
10 years ago
Bongo510 Dec
Hamisa Mobeto na mchumba wake Dj Majey wa E-FM wanatarajia kupata mtoto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fF26g4OBHLg/XkkmSopY9BI/AAAAAAABzBM/njqcjJhMNq4-jgJtBWaXkEh2zOc_Qm6JQCLcBGAsYHQ/s72-c/ome2.jpg)
BAADA YA KUFIKISHA UMEME VIJIJINI TANESCO YAZIDISHA KAMPENI YA KUWAHAMASISHA WANAVIJIJI KUCHANGAMKIA FURSA HIYO
SHIRIKA la umeme Tanzania TANESCO kupitia idara ya masoko imeanza zoezi la kutoa elimu kwa wananchi wa wilaya na vijiji vya mkoa wa Tabora.Lengo la utoaji huo wa elimu ni kuwaelimisha wananchi wanaopitiwa na mradi wa REA awamu ya tatu(REAIII) kufahamu taratibu za kuunganishiwa umeme pamoja kuchangamkia fursa za mradi kabla hazijaisha. Miongoni mwa wilaya ambazo tayari zimepitiwa na na sasa ziko kenye zoezi hilo la kupatiwa elimu ni wilaya ya Uyui, Sikonge, na baadae zitafuatiwa na wilaya ya...
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Mtoto aliyeibiwa apatikana baada ya miezi 4
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Jamaa afukuliwa miezi miwili baada ya kuzikwa