Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Hamisa Mobetto amuonesha mwanaye baada ya kufikisha miezi 6

Mwanamitindo Hamisa Mobetto ambaye sasa ni mama, amepost picha za mtoto wake huyo wa kike aliyefikisha umri wa miezi 6. Mobetto ambaye amezaa na Dj mkongwe nchini, Majay amepost picha za mtoto huyo Instagram na kuandika; “Happy six month my little mermaid I love you Mwanangu #GodWin @Misfansy @Misfansy #cutekidsclub”. Kwenye picha nyingine ameandika; “Mapozi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Hamisa Mobeto amuonesha mwanaye baada ya kufikisha miezi 6

Mwanamitindo Hamisa Mobeto ambaye sasa ni mama, amepost picha za mtoto wake huyo wa kike aliyefikisha umri wa miezi 6. Mobeto ambaye amezaa na Dj mkongwe nchini, Majay amepost picha za mtoto huyo Instagram na kuandika; “Happy six month my little mermaid I love you Mwanangu #GodWin @Misfansy @Misfansy #cutekidsclub”. Kwenye picha nyingine ameandika; “Mapozi […]

 

9 years ago

Bongo5

Hamisa Mobetto adai kuzaa hakujamuondolea sifa zake za uanamitindo

Mlimbwende Hamisa Mobetto aliyepata mtoto miezi kadhaa iliyopita, amedai kuwa enzi za kuogopa kuzaa kisa kazi hiyo zimepitwa na wakati. Mobetto ambaye amezaa na DJ mkongwe nchini, Majay amesema baada ya kujifungua amerudi kwenye kazi yake na anaimudu vizuri bila kuathiri upande wowote. “Unajua kila kitu ni mipango, unatakiwa kuangalia familia yako inahitaji nini na […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Hizi za Hamisa Mobeto Akiwa Mjamzito Zawa Gumzo

Picha za mwanamitindo  ambaye pia amewahi kucheza filamu kadhaa, Hamisa Mobeto akiwa na ujauzitoo zimewashangaza wengi leo huko kwenye mtandao wa Instagram  kwani sio tu ameonenaka na   ujauzito bali habari zilizotoka na picha hizo ni kwamba mwanadada huyo tayari ameshajifungua mtoto wa kike siku kadhaa zilizopita.

Tofauti na mastaa wengi , ujauzito wa staa huyu ulikuwa siri na wengi hatukujua. Hongera sana Hamisa Mobeto.

Mzee wa Ubuyu

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA KUFIKISHA UMEME VIJIJINI TANESCO YAZIDISHA KAMPENI YA KUWAHAMASISHA WANAVIJIJI KUCHANGAMKIA FURSA HIYO


SHIRIKA la umeme Tanzania TANESCO  kupitia idara ya masoko imeanza zoezi la kutoa elimu kwa wananchi wa wilaya na vijiji vya mkoa wa Tabora.

Lengo la utoaji huo wa elimu ni kuwaelimisha wananchi wanaopitiwa na mradi wa REA awamu ya tatu(REAIII) kufahamu taratibu za kuunganishiwa umeme pamoja kuchangamkia fursa za mradi kabla hazijaisha. Miongoni mwa wilaya ambazo tayari zimepitiwa na na sasa ziko kenye zoezi hilo la kupatiwa elimu ni wilaya ya Uyui, Sikonge, na baadae zitafuatiwa na wilaya ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyeibiwa apatikana baada ya miezi 4

Mahakama nchini El Salvador imeamuru mtoto aliyebadilishwa punde baada ya kuzaliwa kukutanishwa na wazazi wake halisi miezi minne baadaye

 

10 years ago

Dewji Blog

Baada ya mapumziko ya miezi 4, Lady Jaydee is BACK!

Jide Jaydee SHOW (1)

Baada ya mapumziko ya miezi 4, Lady Jaydee is BACK!!! tarehe  31 October pale MOG Bar & Restaurant (zamani NYUMBANI LOUNGE).

 

5 years ago

BBCSwahili

Jamaa afukuliwa miezi miwili baada ya kuzikwa

Familia moja nchini kenya imefukua mwili wa jamaa yao kutekeleza agizo lake la kuzikwa na pakiti ya sigara pamoja na peremende anzozipenda

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtoto akutana na wazazi wake miezi 10 baada ya kuzaliwa

Hatimae wanandoa wamepata fursa ya kukutana na mtoto wao aliyezaliwa na mama wa kukodi

 

5 years ago

Michuzi

Baada ya mapumziko ya miezi mitatu, mpira unazunguka miguuni tena

KWANZIA leo, tutakuwa na uwezo wa kufurahia Ligi nyingine ya mpira wa miguu ikicheza. Sote tunafahamu orodha ya ubashiri haipendezi kama Serie A haipo.
Kurejea kwake ni kama mpira halisi umemkuta anae bashiri, na ofa maalum kutoka Meridian huwezi kuikataa kwani kuna ofa ya machaguo Zaidi ya 5000 kwa siku tatu tu!
Hali ilivyo sio ya kutabirika - Lazio wapo makini kwenye mashindano wakiwa alama moja nyuma ya Juventus, ambao tayari wamepoteza Kombe la nyumbani dhidi ya wapinzani wao Napoli....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani