Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Wastara Anauliza, Hivi kwa Mfano….

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wastara Juma amebandika picha hii mtandaoni akiwa na meneja wake Bond Bin Sinnan ni mtangazaji na pia ni muongozaji na muigizaji wa Filamu.

Kilichowafurahisha  wengi ni haya mameno Wastara alioyaandika kwenye picha huyo;

“Kwa mfano yaani no yaani nauliza hivi kwa mfano inakuwa ni aah basi nimeghairi tuendelee kuangalia mpaka usingizi utupitie uaminifu dhaifu hii ni TBTau Tabata Barakuda tuliambiwa cut ila cinema iliendelea”

Nadhani ameeleweka  vyema, hasa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki

Wastara na Mlela

Wastara na Mlela

Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni      Yusuph Mlela au Mlelandro.

Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita

Wastara

Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.

Wastara

Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;

wastara mguu

“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.

Huyo ndio...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wastara Akichukua Fomu Mjini Morogoro

Morogoro nikiwa na viongozi wa CCM na jumuiya wa wilaya ya Morogoro mjini kwenye uchukuaji wa fomu ya ugombea ubunge wa viti maalum kupitia kundi la walemavu nimethubutu na naaamini na kutegemea mchango wenu...
Wastara on instagram
 

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Sherehe ya Kuzaliwa ya Mtoto wa Wastara ya Hudhuriwa na Mastaa Kadhaa

Siku ya leo, mwigizaji  wa filamu, Wastara Juma alimfanyia sherehe mtoto wake wa kiume aitwae Faris ,ambae siku ya leo amefikisha umri wa miaka 10 yakuzaliwa.

Sherehe hiyo iliudhuriwa na baadhi ya waigizaji wakubwa kama, Bond Bin Sinnan amabe ni mtangazaji na muigizaji na Salma jabu “Nisha” na wengine wengi.

Hizi ni baadhi ya picha za sherehe hiyo. Tunamtakia maisha marefu kijana huyu na tungependa aje kuinga kwenye tasnia hii ya filamu.

Wastara anauliza: “Kafanana na nani huyu mtoto...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Sio Mdomo tu Hata Mkono Nipo Gado- Wastara

Staa wa Bongo Movies Wastara Juma ame-share nasi picha hizi akiwa gym anafanya mazoezi huku akiandika maneno kuelezea kuwa yupo kwenye maandalizi ya filamu mpya inayofanyika chini ya kampuni  ya  WAJEY Film Company ambapo atakuja kivingine.

Hii ni mistari aliyondika kwenye picha hizo;

WAJEY Film Company Back Soon, New Project New Style

WAJEY, sio mdomo tu hta mkono upo gado

WAJEY....ila ninawashwa kumchapa mtu kichapo cha mbwa mwizi

Mdau, unautabiri vipi ujio huu wa Wastara kwenye...

 

11 years ago

Vijimambo

Martin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika

Katika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager wake,labda kama ana mmanage kwenye biashara ya Ngono..Picha hiyohapo niliyo screenshoot.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara Afunguka Kumzimia Sharukhan, Adai Kubandika Picha Zake Chumbani!

“Mama weeee uwiiii jamani nakufa mwenzenu kwa huyu mtu mwanaume nampenda huyu daah.... Mpaka leo ajapta mpinzni ndani ya moyo wangu kwa pande za bollywood lov uuuuuu shaharukhan nikisema sana utakuwa uongo lakini ningekuwa mwanaume ningemcopy kilakitu katika uigizaji yaani toka mwaka 1991 naanza kumjua huyu jamaa nakumbuka nilibandika pic zake chumba kizima nikawa naongea nae kma namuona vile jamani mapenzi mabaya mapenzi yanaua hhhhha Lov U Sharukhan”.. Wastara aliandika maneno haya mara...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Hizi Za Wastara Za Kulazwa Hospitali Zawaacha Mashabiki Njia Panda

Picha hizi za muigizaji, Wastara Juma,akiwa hospitali amelazwa baada ya kufanyiwa vipimo zimewaacha mashabiki katika njia panda, wengine wakiamini anaumwa na kuanza kuampa pole huku wengine wakiamini yupo kazini yaani anatengeneza filamu.

Picha hizi aliziweka Wastara mwenyewe mtandaoni bila ya kuandika chochote, na hadi sasa ajajibu hata comment moja kutoka kwa followers wake ambao wanataka athibitisha kama kweli ni mgojwa.

Bongomovies.com haikufanikiwa kumpata Wastara kwa njia ya simu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani