Pluijm aelekeza mitutu Msimbazi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amesema haofii lolote kuelekea mechi dhidi ya hasimu wake, Simba Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam huku akitamba yupo tayari kwa vita ya kuwachakaza wekundu hao.
Msimu huu pambano hilo limetabiriwa kuwa litakuwa ni la kukata na shoka kutokana na timu hizo kupata matokeo ya ushindi kwenye mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) walizocheza mpaka sasa.
Yanga iliyo kileleni mwa Ligi Kuu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Lissu: Katiba ya wananchi haiwezi kupitishwa kwa mitutu ya bunduki
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema Katiba ya Wananchi haiwezi kupitishwa chini ya ulinzi mkali wa vikosi vya ulinzi na usalama vyenye mitutu ya bunduki,...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Breaking News!! Hali si shwari milima ya Udzungwa, Wanajeshi waingia kazini mitutu yalia msitunu
*Update zilizotufikia hivi punde inasemakana watu 6 wamejeruhiwa kwa risasi, akiwemo mtu aliyeripotiwa kufariki dunia katika hao 6 katika kijiji cha Nyandeo Msolwa wilayani Kilombero… Taarifa zaidi tutaendelea kuwaletea kadri tunavyozipata.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Habari zilizotufikia katika chumba cha habari kutoka Wilayani Kilombero katika vijji vya Nyandeo na Kidatu Mkoani, Morogoro ni kuwa jeshi la Wananchi wameingia katika mji huo na kupiga kambi katika milima ya Udzungwa...
11 years ago
TheCitizen29 May
Sweeping changes begin at Msimbazi
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Hali tete Msimbazi
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
‘Uzio kikwazo Msimbazi Sekondari’
IMEELEZWA kuwa Shule ya Sekondari Msimbazi inashindwa kutunza mazingira ipasavyo kutokana na kutokuwa na uzio. Hayo yalibainishwa na kiongozi wa mazingira wa shule hiyo, Hitesh Harish, wakati wa hafla ya...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Mkwanja wa Okwi watua Msimbazi
MAMBO yamenoga Mtaa wa Msimbazi baada ya juzi kupokea malipo ya kiungo wao mshambuliaji Emmanuel Okwi, aliyeuzwa kwenye klabu ya Sonderjyske FC ya Denmark.
Simba imepokea kiasi cha Dola 110,000 sawa na shilingi milioni 220, kama mauzo ya mchezaji huyo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea timu hiyo.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya usajili Simba, Zacharia Hanspope alisema wanashukuru kuona wamepata fedha hizo ambazo hivi sasa wanaweza kumsajili...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kipa JKU atua Msimbazi
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
‘IGP timua askari Msimbazi’
BAADHI wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kufanya mabadiliko ya askari katika Kituo cha Polisi Msimbazi, kutokana na kuhusishwa katika tuhuma...