Pluijm, Rage waichambua Stars
Wakati Watanzania wakiendelea kuugulia maumivu ya kipigo cha mabao 3-0 ambacho Taifa Stars imekipata kutoka kwa Misri, Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema makosa binafsi pamoja na maandalizi ya chini kwa timu hiyo ndiyo yameigharimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Wasomi waichambua Ukawa
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA
SIKU moja baada ya Kamati Maalumu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutoa mapendekezo ya ugawaji wa majimbo 211 kati ya 239, wasomi na wachambuzi wa siasa wametoa maoni yao.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, wasomi na wachambuzi hao wa siasa pamoja na mambo mengine, walisema bado Ukawa wanatakiwa kueleza umma namna watakavyoandaa ilani yao na kuinadi mbele ya wananchi.
DK. BANA
Akitoa maoni yake jijini Dar es Salaam, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R82pK8DBdCEZtH-0-aEbUCRuVMKVeJqQFT15jzPT4YxAp8f*X6umff3jdYfAF488YaOhcmAAF51b7aPAFIy8V6R/2.jpg?width=550)
Al Ahly waichambua penalti ya Cannavaro dakika 10
9 years ago
Vijimambo20 Aug
Wasomi waichambua timu ya kampeni ya CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/bana-20August2015.jpg)
Wanazuoni na wachambuzi wa masuala ya kisiasa wameichambua kwa kutoa maoni tofauti timu ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Benson Bana, alisema timu ya CCM imeundwa na makada wenye uwezo mbalimbali wakiwamo wa kurusha makombora makali kwa upinzani.
Alisema: “Unaweza kuona kamati hii ilivyopangwa imekamilika kwa sababu kuna watu wa kutoa mapigo na wenye busara kama akina...
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Wasomi waichambua kamati ya kampeni CCM
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Chama Cha Mapiduzi (CCM) kutangaza vigogo 32 wanaounda kamati ya kampeni ya mgombea urais wa chama hicho, baadhi ya wachambuzi na wasomi wameikosoa timu hiyo wakisema haina jipya.
Akizungumza jana kwa simu, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCO), Profesa Gaudens Mpangala, alisema anashangazwa na wingi wa wajumbe wa timu hiyo akisema ni dhahiri mwaka huu chama hicho tawala kinakabiliwa na upinzani mkali.
“Nimeshangazwa na uwingi wa...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Rage awaonya wanachama
MWENYEKITI wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, amewaonya wanachama kuwa makini kuelekea uchaguzi mkuu, kwani kitendo cha kupandikiza maneno kwa Mgombea wa Urais Michael Wambura kitaharibu mchakato mzima...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwXECPCQV*uxVV7REVEyACVvCEUXoAsqQa8ix6lSF9wUZ5nOzQpnv7J0t7jbJbDk-L-vm756AgxnmKOt2w6L66U/IsmailAdenRage.jpg?width=640)
RAGE: TUJIUZULU WOTE
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Rage: Tusitafute mchawi
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Neymar is all the rage among hosts