Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi kudhibiti watakaoleta fujo Jumapili

JESHI la Polisi nchini limewaondolea hofu wananchi juu ya kuwepo kwa vurugu na vitendo vya uvunjifu wa amani siku ya Uchaguzi Mkuu Jumapili wiki hii; na kuonya kuwa yeyote aliyejipanga kuvuruga uchaguzi, atadhibitiwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!

Wanasema ni vyema kutumainia mema na kujiandaa kwa mabaya na wengine wanaonya kuwa ukiwa na matarajio makubwa usishangae kufedheheshwa kwa kiasi kikubwa pia. Pamoja na misemo hiyo, ni wazi tuna kila sababu ya kuwa na matumaini kuwa kijana wetu Idris Sultan anaweza kushinda taji la Big Brother Africa, Hotshots. Tunaona jinsi ambavyo mastaa na watu […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Polisi kutumia “Whatsapp” kudhibiti uhalifu

JC9A1116

Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha (ACP) Edward Balele akifungua kikao kati ya Jeshi hilo na Taasisi za ulinzi kujadili mustakabali wa usalama ndani ya mkoa huu. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Jijini hapa (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha).

JC9A1123

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya KK kanda ya Kaskazini Claude Herssens akichangia mada katika kikao kilichoandaliwa na Jeshi la Polisi Mkoani hapa na kuziusisha taasisi mbalimbali za ulinzi...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi yawaangukia abiria kudhibiti ajali

POLISI mkoani Katavi kupitia kikosi cha Usalama Barabarani imezindua kampeni inayowataka abiria kushirikiana kudhibiti na kupunguza ajali za barabarani hasa kipindi cha kuelekea siku za Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waagizwa kudhibiti kundi la ‘kamchape’

SERIKALI Wilaya ya Nzega Mkoa wa Tabora imeliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata watu wanaounda kikundi cha waganga wa jadi maarufu kama ‘kamchape’ kutokana na kikundi hicho kuhatarisha amani ya wakazi wa wilaya hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Prof Jay: Vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko

Mbunge mteule wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule, maarufu Profesa Jay amesema vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi Arusha kudhibiti uhalifu kwa ‘WhatsApp’

Polisi mkoani Arusha wamedhamiria kushirikiana na kampuni ya za ulinzi kupeana taarifa za uhalifu na wahalifu mara kwa mara kwa njia mtandao wa kijamii ya mtandao wa ‘WhatsApp.’

 

5 years ago

Michuzi

MASAUNI-POLISI ZINGATIENI MISINGI YA SHERIA KUDHIBITI UHALIFU




Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na wajumbe(hawapo pichani),  wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi ambapo amelitaka jeshi hilo kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.Ufunguzi wa kikao hicho umefanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi ingieni vijijini kudhibiti gongo mkoani Mbeya

Hivi karibuni nchini Kenya tulisikia kupitia vyombo vya habari kwamba watu 76 walipoteza maisha kwa kunywa pombe haramu ijulikanayo kwa jina la chang’aa.

 

5 years ago

Michuzi

Masauni - Polisi zingatieni Misingi ya Sheria kudhibiti Uhalifu


Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo Machi 16,2020 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akifungua Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi kilichofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Napenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani