PSPF yasaidia shule Pwani
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) na Flaviana Matata Foundation wametoa vifaa vya shule kwa wanafunzi wenye uhitaji wilayani Kisarawe na Mkuranga, mkoani Pwani. Akikabidhi vifaa hivyo mwishoni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
PSPF yasaidia mabati Iringa
KATIKA kutekeleza maagizo ya Rais Jakaya Kikwete, kila shule iwe na maabara tatu ifikapo Novemba mwaka huu, Mfuko wa Pensheni ya Watumishi wa Umma (PSPSF), umetoa msaada wa mabati 300...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI WA ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIFURU-KISARWE MKOA WA PWANI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s72-c/PIX1.jpg)
PSPF YASAIDIA KITUO CHA KULEA WATOTO WALIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU, VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1FwLpwYr-0/VPmRMF3lisI/AAAAAAAAQ7w/RfIBeOPylzc/s1600/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q9Wji6dYOdI/VPmRQ32K7dI/AAAAAAAAQ8E/4DphWkGjRnQ/s1600/pix11.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p2o7Lk-gOAs/VRR_gzsowTI/AAAAAAAAEko/yVGt3cxk6Ns/s72-c/Mayingu2.jpg)
PSPF WAFANYA KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA MANISPAA ZA DAR NA PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-p2o7Lk-gOAs/VRR_gzsowTI/AAAAAAAAEko/yVGt3cxk6Ns/s1600/Mayingu2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xW4Z7838B5w/VRR_jgZY4RI/AAAAAAAAEkw/LuEIaXfpmX4/s1600/Profesa%2BHermans%2BMwansoko.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKASRh116SI0sCi3B11h10Qr4pkJeljgw58EGrCAyU1wwXX5ekFQ*jB4VEvvKuKp-xVUdVOaaEXkmq4-CrTOqR*/Mayingu.jpg?width=650)
PSPF KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA MANISPAA, DAR NA PWANI
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Tiper yasaidia vifaa vya maabara Shule ya Msafiri
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya kuhifadhi mafuta nchini, Tiper imetoa msaada wa vifaa vya maabara vyenye thamani ya Sh milioni 20 kwa Shule ya Sekondari Msafiri, iliyopo wilayani Rufiji, mkoani Pwani ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za kampuni hiyo katika kuboresha kiwango cha elimu nchini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya makabidhiano ya vifaa hivyo iliyofanyika jana wilayani Rufiji, Mkurugenzi Mtendaji wa Tiper, Daniel Belair, alisema msaada huo pia ni sehemu ya mpango endelevu wa kampuni hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-zBzOA3R0QU4/VY5NzUpoeCI/AAAAAAAB-Wg/xq6bfJdUl7s/s72-c/blogger-image-662351295.jpg)
PPF YASAIDIA SHULE YA SEKONDARI IDODI-IRINGA MIFUKO 220 YA SARUJI
![](http://lh3.googleusercontent.com/-zBzOA3R0QU4/VY5NzUpoeCI/AAAAAAAB-Wg/xq6bfJdUl7s/s640/blogger-image-662351295.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-dtSYquW6Hq8/VY5NsKAX43I/AAAAAAAB-WY/ih79BqLgb3M/s640/blogger-image--1351823774.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-aP7tNc4Emz8/VY5NgXQ2q1I/AAAAAAAB-WQ/bVaW4_FtDmk/s640/blogger-image-210816910.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
10 years ago
Habarileo04 Dec
PSPF yachangia mabati kukarabati shule Masasi
MFUKO wa Pensheni wa PSPF umetoa msaada wa mabati 100 yenye thamani ya Sh milioni 2 kwa Shule ya Sekondari Lukuledi wilayani Masasi, kwa ajili ya kuboresha miundombinu iliyo chakavu shuleni hapo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10