PUMZIKA WA AMANI MAREHEMU ANNETH CHRISTIAN KAJURA
Mume wa marehemu akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mke wake Anneth Christian mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach - SalaSala Jijini Dar es Salaam na baadae maziko yalifanyika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach.
Mmoja ya wanandugu akitoa heshima ya mwisho.
Mume wa marehemu Anneth Christian akiweka mchanga katika kaburi la mke wake katika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach.
Mama wa marehemu akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwanae Anneth Christian mwishoni mwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Pumzika kwa amani mnenguaji Aisha Madinda
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YbJ8-Xw-yYI/XnfNulbaxoI/AAAAAAALkwI/Ex3odRZd76MjNfQN96-Hg5gGnXJP6vZtACLcBGAsYHQ/s72-c/84191976_10157688399949473_5207830129107009536_n.jpg)
TANZIA: PUMZIKA KWA AMANI YA BWANA DADA YETU MPENDWA MONICA NYAKITERI ( NTARE).
![](https://1.bp.blogspot.com/-YbJ8-Xw-yYI/XnfNulbaxoI/AAAAAAALkwI/Ex3odRZd76MjNfQN96-Hg5gGnXJP6vZtACLcBGAsYHQ/s640/84191976_10157688399949473_5207830129107009536_n.jpg)
Habarini wapendwa na poleni na mlipuko wa tauni.Wengi wetu tunamfahamu ndugu yetu, rafiki na dada yetu Monika Kerenge (Monica Nyakiteri) au Monica Ntare) na kwa masikitiko makubwa tunawataarifu kuwa ametutoka. Ameaga dunia akiwa nyumbani Tanzania.Hapa UINGEREZA msiba uko nyumbani kwake Sydnham 24B Tree down Road London SE26 5QH.
Kutokana na mlipuko wa tauni sasa hivi mikusanyiko hairuhusiwi ila mnakaribishwa kuja kwa uangalifu sana., Kwa niaba ya familia ningependa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200525_115223.jpg)
PUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200525_115223.jpg)
Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.
Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.
Babu Njenje...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Kumbukumbu ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika leo mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) aliyefariki dunia mwaka mmoja uliopita itafanyika Mtaa wa Amani na Simba, Kariakoo, jijini Dar es salaam mara baada ya Swalatul Ishai Zawiyan siku ya leo Desemba 30.
Familia ya marehemu inawaalika ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo kuhudhuria shughuli hii, kumkumbuka na kumuenzi Sheikh Comorian, aliyekuwa mwanazuoni nguli na mwalimu wa wengi.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s72-c/TA1A6413.jpg)
MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI BAKARI SHAABANI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s1600/TA1A6413.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9Qe7BqKa1r8/VoJ_-ynHLbI/AAAAAAAIPMk/Q83rcFvfP30/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Hauli (Kumbukumbu) ya Marehemu Sheikh Ali Mzee Comorian kufanyika kesho mtaa wa Simba na Amani, Kariakoo, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-9Qe7BqKa1r8/VoJ_-ynHLbI/AAAAAAAIPMk/Q83rcFvfP30/s320/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5qadQXNFH5EtUdvf7emOCd20-ZYyIIc-dLbsf1olTFTnYuU9GYQyF69l6JuZnIorMJYnsCbH4nqxBpGvv6cAwT/banza.jpg?width=650)
DOKTA: BANZA PUMZIKA, UTAKUFA!
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Pumzika Kamanda ‘Mjomba’ Gurumo
ILIKUWA siku ya Jumapili alasiri Aprili 13, mwaka huu ndipo mapenzi ya Mungu yalitimia kwa kuitwaa roho ya gwiji wa muziki nchini, Maalim Muhidin Gurumo. Naam, nikiwa nimepumzika nyumbani nikasikia...