Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOKTA: BANZA PUMZIKA, UTAKUFA!

Stori: Musa Mateja
MSANII nguli wa muziki wa dansi, Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’ ameshauriwa kupumzika kazi za nguvu ikiwemo uimbaji kutokana na matatizo ya kiafya yanayomkabili. Akizungumza na Ijumaa, daktari mmoja wa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar aliyeomba jina lake lisitajwe gazetini, aliyemshuhudia Banza siku za hivi karibuni akiimba jukwaani, alisema kwa hali aliyonayo msanii huyo hatakiwi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pumzika Kamanda ‘Mjomba’ Gurumo

ILIKUWA siku ya Jumapili alasiri Aprili 13, mwaka huu ndipo mapenzi ya Mungu yalitimia kwa kuitwaa roho ya gwiji wa muziki nchini, Maalim Muhidin Gurumo. Naam, nikiwa nimepumzika nyumbani nikasikia...

 

10 years ago

Mwananchi

Pumzika kwa amani mnenguaji Aisha Madinda

Jumatano hii iliyopita, mmoja kati ya wanenguaji waliokuwa nguzo ya Bendi ya The African Stars Band, hasa katika safu ya unenguaji, Aisha Mohamed Mbegu `Madinda’ alifariki dunia.

 

9 years ago

Michuzi

PUMZIKA WA AMANI MAREHEMU ANNETH CHRISTIAN KAJURA

Mume wa marehemu akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mke wake Anneth Christian mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu Mbezi Beach - SalaSala Jijini Dar es Salaam na baadae maziko yalifanyika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach. Mmoja ya wanandugu akitoa heshima ya mwisho. Mume wa marehemu Anneth Christian akiweka mchanga katika kaburi la mke wake katika Makaburi ya Kondo - Bahari Beach. Mama wa marehemu akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwanae Anneth Christian mwishoni mwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba

MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: PUMZIKA KWA AMANI YA BWANA DADA YETU MPENDWA MONICA NYAKITERI ( NTARE).

Na Maina Angi'ela Owino 
Habarini wapendwa na poleni na mlipuko wa tauni.Wengi wetu tunamfahamu ndugu yetu, rafiki na dada yetu Monika Kerenge (Monica Nyakiteri) au Monica Ntare) na kwa masikitiko makubwa tunawataarifu kuwa ametutoka. Ameaga dunia akiwa nyumbani Tanzania.Hapa UINGEREZA msiba uko nyumbani kwake Sydnham 24B Tree down Road London SE26 5QH.
Kutokana na mlipuko wa tauni sasa hivi mikusanyiko hairuhusiwi ila mnakaribishwa kuja kwa uangalifu sana., Kwa niaba ya familia ningependa...

 

5 years ago

CCM Blog

PUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA

Mmoja wa wanamuziki mahiri nchini na mwenye sauti yenye mvuto, Mabrouk Hamis Omar, maarufu Babu Njenje(pichani), ametangulia mbele ya haki.

Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.

Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.

Babu Njenje...

 

11 years ago

GPL

DOKTA MAMBO ANASWA...

Stori: Waandishi Wetu
MWAKA umeanza, mambo mapya pia yapo! Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers imeingia kazini kwa kasi zaidi. Safari hii imemnasa daktari anayejulikana kwa jina moja la Mambo maarufu sana kwa jina la Dokta Mambo katika jaribio linalodaiwa kuwa ni la utoaji mimba. Tukio hilo lilitokea katika zahanati yake (jina lipo) iliyopo Kawe jijini Dar es Salaam ambapo daktari huyo anayejulikana...

 

10 years ago

GPL

DOKTA: JK MUOKOE RAY C

STORI: MAYASA MARIWATA NA SHANI RAMADHANI
DOKTA mmoja wa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar (jina lipo) ameibuka na kumtaka  Rais Jakaya Kikwete ‘JK’ aliyewahi kubeba jukumu la kuitengeneza afya ya Mbongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ asimamie tena jukumu hilo ili kuokoa maisha ya msanii huyo. Dokta huyo aliyasema hayo juzi katika mahojiano na Amani kufuatia madai kwamba, Ray C hana mahudhurio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani