RADIO 5 YASHINDA NAFASI YA KWANZA MAONYESHOA YA NANENANE ARUSHA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akiwa anamkabidhi kikombe Meneja masoko na mawasiliano Sarah Lazaro Keiya mara baada yakituo cha Radio5 kutangazwa washindi wa kwanza kwa upande wa Radio na wapili katika sekta nzima ya mawasiliano katika kilele cha sherehe za sikukuu ya Wakulima nanenane na maonyesho ya kilimo Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika uwanja wa maonyeshoThemi Mkoani Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)Meneja masoko na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Kituo cha Radio 5 chashinda nafasi ya kwanza maonyesho ya Nanenane Arusha
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akikabidhi kikombe Meneja masoko na mawasiliano Sarah Lazaro Keiya mara baada yakituo cha Radio5 kutangazwa washindi wa kwanza kwa upande wa Radio na wapili katika sekta nzima ya mawasiliano katika kilele cha sherehe za sikukuu ya Wakulima nanenane na maonyesho ya kilimo Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika uwanja wa maonyeshoThemi Mkoani Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja masoko na...
9 years ago
Michuzi06 Dec
Benki ya NMB yashinda nafasi ya kwanza Tuzo za NBAA kwa mabenki Tanzania
10 years ago
GPLTTCL YASHINDA NAFASI YA KWANZA SEKTA YA HABARI NA MAWASILIANO MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (SABASABA)
11 years ago
MichuziUSHIRIKA VETERAN BINGWA WA BONAZA LA NANENANE ARUSHA
Michezo hiyo ya nanenane iliyozishirikisha timu kutoka mikoa ya Arusha,Dodoma, Mwanza,Dar es salaam na Kilimanjaro ambao timu yao ndio waliibuka mabingwa wa mashindano hayo...
10 years ago
MichuziAirtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma
10 years ago
MichuziTRIPLE A FM YAZINDUA NEMBO YA RADIO HIYO ARUSHA
10 years ago
VijimamboNSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF
10 years ago
Michuzi09 Mar
WEMA SEPETU ATEMBELEA STUDIO ZA RADIO 5 JIJINI ARUSHA
Wema Sepetu akiwa ndani ya studio za Radio 5 jana mara baada yan kufanya ziara fupi mjengoni hapo akielezea pia kuhusu show yake ya black and white party iliyofanyika jana usiku tarehe 7/3/2015 jijini Arusha kushoto ni mtangazaji mahiri wa kituo hicho Wilfredy akiwa anafanya kipindi na mwanadada huyo, Wanaonekana pichani ni team Wema.(Habari Picha na Pamela Mlollel wa jamiiblog)
Wema Sepetu akiwa anaeleza furaha yake yakuwepo jiji Arusha ambapo amesema jiji la Arusha ni miongoni mwa...
10 years ago
Dewji Blog25 Aug
Maggid Mjengwa aongoza mjadala Kwanza Jamii Radio: Nini tafsiri ya Mizengo Pinda kutangaza nia? Sikiliza…
Studio za Kwanza Jamii Radio.
Kusikiliza mjadala huo ingia hapa