Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIPOTI: Watanzania wapoteza matumaini

Zaidi ya nusu ya Watanzania wamekata tamaa ya maisha, badala yake wanafikiri hali zao zitakuwa bora miaka kumi ijayo, kwa mujibu wa ripoti ya taasisi ya Twaweza pamoja na Jumuiya ya Maendeleo ya Kitaifa (SID).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Ripoti ya CAG haitoi matumaini yoyote

>Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka wa fedha wa 2012/13 imefichua madudu ya ajabu, ambayo bila shaka yatakuwa yameondoa matumaini ya wananchi ya kukua kwa uchumi na kuwaondolea umaskini uliokithiri.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wanne wapoteza maisha kwa mkanyagano Makka

Watanzania wanne ni miongoni mwa mahujaji zaidi  ya 700 waliopoteza maisha jana kwa mkanyagano wakati wakitekeleza ibada ya hija mjini Mina umbali wa takribani kilometa tano toka mji mtakatifu wa Kiislamu, Makka nchini Saudi, Arabia. 

 

10 years ago

Vijimambo

WALINZI WA AMANI WATANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI,

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ( DRC) Bw. Martin Kobler akiwafariji walinzi wa amani kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) wanaohudumu katika Misheni ya MONUSCO ( DRC) kufuatia shambulio lililotokea siku ya Jumanne huko Ben,i Magharibi ya Jimbo la Kivu. Katika shambulio hilo na ambalo limelaaniwa vikali na Katibu Mkuu, Ban Ki Moon, walinzi wawili wamepoteza maisha na wengine 13 wamejeruhiwa

Na Mwandishi...

 

10 years ago

Mwananchi

Tido: Ni wakati wa matumaini mapya kwa Watanzania

“ Tutawapatia watanzania matangazo ya moja kwa moja ya uchaguzi, ambayo hawajawahi kuona katika historia ya nchi hii. Kuanzia uchaguzi  wa CCM  hadi kwenye Uchaguzi Mkuu.”

 

9 years ago

StarTV

Watanzania wengi waonyesha matumaini uteuzi wa Mguful.

Baadhi ya Watanzania wameonyesha imani na matarajio yao makubwa ya maendeleo kutoka kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muaungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli.

Dk Magufuli alitangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 25.

Katika hekaheka za kutafuta rikizi mkono uende kinywani hali ya Jiji la Dar es salaam katika maeneo ya kufanyia biashara inaonekana kuwa tulivu na maisha yanaendelea.

Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA

Baadhi ya Watanzania walioko Hijja na ambao wamenusurika na maafa ya msongamano wa watu huko Mina jana. Kulia nia Bw. Yahaya Sameja, kushoto ni mwigizaji mchekeshaji Bw. Amri Athumani al maarufu kama King Majuto. Wa katikati  jina lake halikuweza kupatikana.

Bismilah Rahman Raheem

Assalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.


Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea kwenye Jamaraat , palitokea msongamano mkubwa ( stampede) na kupelekea mahujaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumaini ya medali Madola kwa Watanzania yazidi kupeperuka

Pigo kwa Tanzania! Ndivyo ilivyokuwa jana kwenye kambi ya wanamichezo wa Tanzania nchini Scotland baada ya mwanariadha mzoefu, Fabiano Joseph kushindwa kung’ara kwenye mbio za marathon za Michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA

Baadhi ya Watanzania walioko Hijja na ambao wamenusurika na maafa ya msongamano wa watu huko Mina jana. Kulia nia Bw. Yahaya Sameja, kushoto ni mwigizaji mchekeshaji Bw. Amri Athumani al maarufu kama King Majuto. Wa katikati  jina lake halikuweza kupatikana.
------------------------------------------------------------------------------------

Bismilah Rahman Raheem

Assalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.


Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...

 

10 years ago

Vijimambo

MATUMAINI YA WATANZANIA NDANI YA CCM BAADA YA MEMBE NA MAKAMBA KUSEMEKANA KUKATWA

John Pombe MagufuliAsha-Rose MigiroBalozi Amina Salum Ali 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani