Rubani mwanamke mkenya na mafanikio yake
Rubani wa kwanza wa kike nchini Kenya sasa amepata mafanikio zaidi kwa kufuzu kuwa rubani wa kwanza mwanamke barani Afrika kushika usukani wa ndege za kisasa aina ya Boeing 787 Dreamliner.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Anne-Marie Lewis — Si kazi ngumu mwanamke kuwa rubani
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
LICHA ya kwamba uwepo wa wanawake katika sekta ya usafiri wa anga kuwa mdogo, uwezo wa kuwa viongozi katika usafiri wa anga hauna mwiko. Akizungumza na gazeti hili, rubani mwanamke wa kwanza kuongoza ndege aina ya Airbus A380 inayomilikiwa na kampuni ya Fastjet Tanzania, rubani Anne-Marie Lewis anasema wanawake barani Afrika hawapaswi kuogopa kuwa sehemu ya sekta hii inayokua barani kote.
Anasema si kazi ngumu mwanamke kuwa rubani na kwamba yeye anajiamini na...
10 years ago
Vijimambo09 Feb
10 years ago
Bongo513 Oct
Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake
9 years ago
Michuzi
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kashkashi angani: Rubani awehuka, ateka ndege yake mwenyewe
10 years ago
GPL
NI MWANAMKE NYUMA YA MAFANIKIO AU KINYUME CHAKE?
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
TWAA yamtunukia Tuzo ya Mafanikio Mwanamke wa Mwaka, Inspekta Prisca Komba
Rais wa TWAA, Irene Kiwia akiongea jambo mara baaada ya kutangaza washindi.
..Mama Debora Mwenda atwaa tuzo ya ‘Lifetime Achievement Award’
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Taasisi ya Shirika la kijamii Tanzania Women of Achievement Awards (TWAA), wamewatunukia tuzo Wanawake mbali mbali Nchini kwa mafanikio yao katika tuzo za Wanawake wenye MafanikioTanzania zilizofanyika leo Machi 7, katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam, ambazo mwaka huu zinafanyika kwa mwaka wa Saba, mfululizo...
10 years ago
MichuziAfande Prisca Komba atwaa Tuzo ya Mwanamke mwenye Mafanikio Tanzania 2014
Wengine waliopata tuzo mbalimbali ni pamoja na Debora Mwenda, aliyepata tuzo ya Mwanamke mwenye mafanikio ya maisha, Penina Mlama, alipata tuzo ya Utamaduni na Sanaa, Mary Gitanho, Tuzo ya Ustawi wa Jamii.
...
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nassari atambia mafanikio yake
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.