Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa ilivyotawala udhamini wa watiania CCM

Ikiwa imebaki siku moja kabla ya shughuli ya kuchukua na kurudisha fomu imalizike,  wamejitokeza makada 42 wa CCM wanaoomba kuteuliwa na chama hicho tawala kugombea urais, huku wawili kati yao wakiwa tayari wamekosa sifa kikatiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mambo waliyokwepa watiania urais 2015

Kwa kipindi cha  takriban mwezi mmoja tangu baadhi ya wanasiasa wa chama cha CCM na wa upinzani waanze kutangaza azma yao ya kuwania urais, mikakati mingi imetajwa ya kimaendeleo wanayoamini itaibadilisha Tanzania kufikia malengo ya nchi ya kipato cha kati.

 

10 years ago

Mwananchi

Watiania sisi hatujajitakia kuwa maskini

Kengele ya Uchaguzi Mkuu nchini imepigwa. Katika chama tawala na baadhi ya vyama vya upinzani watu wameanza kutangaza kitu kinaitwa nia ya kugombea nafasi ya urais.Ndiyo nafasi kubwa kuliko zote katika nchi. Mtu anayetaka kugombea nafasi hii anakuwa amejipima kwamba yeye anaweza kuwa mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu.

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa, Kirusi kinachoitesa CCM

Rushwa!Rushwa!Rushwa! Hiki ndicho kimekuwa kilio cha wagombea wengi wa ubunge walioshiriki mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) karibu nchi nzima.

 

10 years ago

Mwananchi

Takukuru: CCM ikitaka tutaiondolea rushwa

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa CCM wanaendelea kupiga kelele bila ya kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya rushwa wanavyodai vinafanywa na makada wanaotaka uongozi wa nchi, Takukuru iko tayari kukisaidia chama hicho kikongwe kupambana na uhalifu huo kama kitakuwa tayari kutoa ushirikiano.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Rushwa ikizidi CCM nitajiondoa

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema iwapo misingi ya uchaguzi ndani ya CCM italalia kwenye rushwa, hataendelea kuwa mwanachama na kuonya kuwa tatizo hilo limefikia pabaya na litakiangusha chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati wa kusikia nguvu ya rushwa CCM

KATIKA kitabu chake cha Nyufa chenye hotuba aliyoitoa Machi 13, 1995, Mwalimu Nyerere ametaja nyufa tano zilizoikumba nchi ambapo alisema kuwa ufa wa nne ni rushwa ndani ya CCM na...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM isaidie Takukuru kukamata wala rushwa

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula yuko katika ziara ya kichama mkoani Dar es Salaam. Moja ya ajenda ya ziara hiyo ni kukemea rushwa ndani ya chama hicho tawala. Kwa msisitizo alitamka kuwa yeyote anayetafuta uongozi kwa kutumia fedha, kununua wanachama ili apigiwe kura au apitishwe, akiona jina lake halikutoka ajue limemezwa na kanuni na sheria za uchaguzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wanawake CCM msiwachague viongozi watoa rushwa’

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga amewataka wafuasi wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho mkoani hapa kutowachagua viongozi wapenda rushwa kwa kuwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani