Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa ya pilau, soda yawang’oa vigogo CHADEMA


NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
MWENYEKITI wa CHADEMA wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Ernest Sheshe na viongozi wengine 10, wameachia ngazi kutokana na kuchukizwa na vitendo vya rushwa.
Sheshe na wenzake hao wamefikia uamuzi huo baada ya makada wengine kumwaga rushwa ya vyakula na vinywaji kwenye uchaguzi.
Makada wengi wa CHADEMA wamekuwa wakilalamika kuchezewa rafu na wapinzani wao, ambao wanatajwa kubebwa na baadhi ya viongozi wa makao makuu, ambapo vitendo vya rushwa vimetawala bila...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mwakyembe awang’oa vigogo 13 kwa rushwa


NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amewatimua vigogo 13 kutoka wizara mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Vigogo hao kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Afya na Ustawi wa Jamii, wamerejeshwa kwenye wizara zao kwa hatua zaidi za kinidhamu na kisheria.

Pia ametoa onyo kali kwa watumishi wengine uwanjani hapo wenye tabia za kujihusisha na rushwa kuwa,...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vigogo wanne wa shule kizimbani kwa rushwa


NA MWANDISHI WETU
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Nachingwea, imepawandisha kizimbani wajumbe wa kamati ya shule kwa tuhuma za rushwa.
Wajumbe hao walipandishwa kizimbani Machi 11, mwaka huu, katika Mahakama ya Wilaya ya Nachingwea, wakishitakiwa kufanya ununuzi hewa ya vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya sh. milioni 1.3 kwa ajili ya Shule ya Msingi Farm Eight.
Kesi hiyo namba CC20/2015, ilifunguliwa Machi 11, mwaka huu, ambapo washitakiwa hao ni Hamza Chidoli...

 

9 years ago

StarTV

Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa

Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter

Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi  milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.

Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vigogo CHADEMA Kigoma wajiuzulu

VIONGOZI watatu wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Kigoma, wamejiuzulu nafasi na uanachama wao kwa madai ya ubabe wa viongozi wa chama hicho kitaifa. Waliojiuzulu ni...

 

10 years ago

Mtanzania

Vigogo CCM Arusha watimkia Chadema

IMG_20150809_114435NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Mkoa huo, Isack Joseph, wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha  Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Ole Nangole na Joseph walifikia uamuzi huo jijini hapa jana na kusema kwa nyakati tofauti wamelazimika kuchukua uamuzi huo kwa kuwa utaratibu wa kumpata mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulikiukwa.

Kwa mujibu wa wana CCM hao, wakati wa mchakato...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rushwa Chadema

ZIMEIBUKA tuhuma za rushwa kwenye kura za maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuzua hofu miongoni mwa wafuatiliaji wa siasa nchini.

Kwa muda mrefu chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimekuwa kikijipambanua na kuaminika mbele ya wananchi kama mpambanaji mkubwa wa rushwa, lakini safari hii hali imeanza kubadilika.

Taarifa zilizolifikia gazeti hili jana na juzi zinadai kuwa wakati wa kura za maoni Jimbo la Segerea, wanachama wa Chadema walilalamika kuwepo...

 

10 years ago

GPL

USHINDI WA CHADEMA SUMBAWANGA, VIGOGO CCM TUMBO JOTO

John Mnyika. Stori: MWANDISHI WETU
Kufuatia ushindi wa kishindo walioupata Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) katika uchaguzi wa marudio wa serikali za mitaa uliofanyika wiki hii katika kata tatu za Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya mkoa na taifa, wanadaiwa kuhaha huku na kule ili kujua chanzo cha kushindwa huko. Kwa mujibu wa chanzo chetu, ushindi huo...

 

10 years ago

Habarileo

Chadema kuwajibishwa wanaonuka rushwa

Dk Wilibroad SlaaCHAMA cha Domekrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa maazimio makuu matatu yaliyofikiwa na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho, ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha viongozi wake waliochaguliwa ikiwa watajihusisha na vitendo vya rushwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Ridhiwani alitoa rushwa

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikitamba kupata ushindi wa kura 20,828, sawa na 86.61% katika uchaguzi mdogo Chalinze, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeibuka na madai kwamba mgombea wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani