Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rweikiza atumia chopa kumfuata Karamagi Bukoba

 Uhasama wa kisiasa unaonekana kushika kasi Jimbo la Bukoba Vijijini baada ya Mbunge wake, Jasson Rweikiza kuamua kutumia chopa kufanya mikutano maeneo ambayo Mbunge wa zamani, Nazir Karamagi amepita hivi karibuni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rweikiza, Karamagi waigawa CCM Bukoba Vijijini

Vumbi la kuwania ubunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini, limeanza kutimka hata kabla ya filimbi kupulizwa baada ya wanaotajwa kuwania nafasi hiyo pamoja na wapambe wao kuanza maandalizi kwa kasi.

 

10 years ago

Daily News

Karamagi displeased with party polls results


Karamagi displeased with party polls results
Daily News
FORMER Minister for Energy and Minerals and Bukoba Rural legislator, Mr Nazir Karamagi, said he does not accept the results announced by the Bukoba District Chama Cha Mapinduzi (CCM) Secretary, Mr Moris Adrian, citing several irregularities that ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi shule ya Rweikiza wang’aa

WANAFUNZI  wote waliohitimu elimu ya msingi mwa huu katika shule ya msingi Rweikiza, iliyopo Kata ya Maruku, Wilaya ya Bukoba  mkoani Kagera, wamepata kiwango cha alama ‘A’. Huu ni mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rweikiza aviwezesha vikundi kupata mikopo

ZAIDI  ya vikundi 200 vimewezeshwa kupata mikopo isiyo na riba ya zaidi ya sh milioni 150  inayoratibiwa na Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jasson Rweikiza. Pia mbunge huyo mapema mwaka huu...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga kumfuata mkuu wa mkoa

Kamati ya Ujenzi ya Yanga chini ya mwenyekiti wake Francis Kifukwe kwa kushirikiana na Baraza la Wazee wa klabu hiyo, kesho itatinga kwenye Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki na barua yao mkononi kumkumbusha ahadi yake ya kutekeleza ombi lao la kuwapa eneo la nyongeza.

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!

Mpoki(kulia) akitamba!!Wasanii wa Original Comedy wakiwapa buradani wananchi waliohudhuria Tamasha hilo katika uwanja wa Kaitaba Bukoba Mjini leo Jumapili Novemba 9, 2014. Nani zaidi??Mwana-FA akiimba mbele ya umati wa wakazi wa Bukoba leo kwenye Tamasha la Tigo lililofanyika leo Jumapili jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba.Kiingilio ilikuwa ni wewe kuvaa uhusika wa Tigo!!Mwana-FAKwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Daily News

Bukoba residents demand rest of compensation over Bukoba airport


Bukoba residents demand rest of compensation over Bukoba airport
Daily News
ABOUT 18 people are demanding to be paid over 400m/- compensation as a result of the rehabilitation and upgrading of the Bukoba Airport. Bukoba Airport Manager, Mr Julius Mlungwana told the 'Daily News on Saturday' in an interview that government ...

 

11 years ago

GPL

WAZEE WA YANGA WAPANGA KUMFUATA MKUU WA MKOA WA DAR

Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga, Ibrahim Akilimali (katikati), akizungumza na wandishi wa habari, leo makao makuu ya klabu hiyo Jangwani, kuhusu azimio lao la kumfuata Mkuu wa Mkoa Dar Meck Sadiki Jumatatu wiki hii, wakishinikiza kupewa majibu ya ombi lao la kuongozewa eneo kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa kisasa pale Jangwani.
Mzee Akilimali (katikakati) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari. Kulia...

 

9 years ago

Mwananchi

Kigogo Kenya matatani kwa kumfuata Magufuli Dar

Gavana wa Jimbo la Siaya, nchini Kenya, Cornel Rasanga ameingia matatani akidaiwa kutumia Sh20 milioni za nchi hiyo (karibu Sh400 milioni) kutoka katika mfuko za Serikali kwa ajili safari ya kuhudhuria sherehe za kumwapisha Rais John Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani