Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rweikiza, Karamagi waigawa CCM Bukoba Vijijini

Vumbi la kuwania ubunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini, limeanza kutimka hata kabla ya filimbi kupulizwa baada ya wanaotajwa kuwania nafasi hiyo pamoja na wapambe wao kuanza maandalizi kwa kasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rweikiza atumia chopa kumfuata Karamagi Bukoba

 Uhasama wa kisiasa unaonekana kushika kasi Jimbo la Bukoba Vijijini baada ya Mbunge wake, Jasson Rweikiza kuamua kutumia chopa kufanya mikutano maeneo ambayo Mbunge wa zamani, Nazir Karamagi amepita hivi karibuni.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE BUKOBA VIJIJINI LEO MKOANI KAGERA.

Wananchi wa kijii cha Rukoma kata ya Rukoma wakiwa wamekusanyika wakimsilikiza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa hadhara jioni ya leo Bukoba vijijini.Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Katoro jioni ya leo wilayani Bukoba vijijini,mkoani Kagera. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Katoro jioni ya leo wilayani Bukoba Vijijini,mkoani Kagera.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya Kinana Bukoba vijijini

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wanachama wa CCM waliokuja kumpokea alipowasili Bukoba Vijijini kwa ziara ya siku moja ya kujenga na kuimarisha chama pamoja na kuhimiza,kukagua na kusukuma utekelezaji wa ilani ya uchaguzi .

 Katibu Mkuu wa CCM akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Bukoba Vijijini kwenye ukumbi wa Bandari ya Kemondo.

 Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akijadili baadhi ya mambo yalioandikwa kwenye taarifa ya Chama wilaya...

 

11 years ago

Michuzi

SHULE YA MSINGI KABALE BUKOBA VIJIJINI YAPOKEA UGENI WA MRADI WA "OPPORTUNITY EDUCATION FOUNDATION" TOKA MAREKANI

Mwanafunzi wa Shuke hiyo ya Kabale iliyopo Bukoba Vijijini akimkabidhi Bw.  Joe Ricketts maua ikiwa ni ishara ya kumkaribisha mgeni huyo kutoka USA ambaye ni Mwenyekiti wa Mradi wa (Opportunity Education Foundation) kwenye shule hiyo leo hii. Bw. Joe Ricketts  kutoka USA kupitia Mradi wa (Opportunity Education Foundation)  akiingia kwenye eneo la Shule hiyo kwenye shule hiyo ya Kabale, Baada ya kupokelewa na Walimu wa Shule hiyo. Kutoka kushoto wa Pili ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bi....

 

10 years ago

Mwananchi

Mayweather,Pacquiqao waigawa Dar es Salaam

Je, Amerika itakubali fedheha mbele ya Mfilipino? hili ni swali ambalo dunia inasubiri lijibiwe Mei 2 mwaka huu wakati miamba ya ndondi, Floyd Mayweather Junior wa Marekani na Manny Pacquiao wa Ufilipino watakapopanda ulingoni kwenye ukumbi wa MGM Grand mjini Las Vegas, Marekani kutafuta mbabe wa dunia wa uzani wa welter, kilo 69.

 

10 years ago

Daily News

Karamagi displeased with party polls results


Karamagi displeased with party polls results
Daily News
FORMER Minister for Energy and Minerals and Bukoba Rural legislator, Mr Nazir Karamagi, said he does not accept the results announced by the Bukoba District Chama Cha Mapinduzi (CCM) Secretary, Mr Moris Adrian, citing several irregularities that ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi shule ya Rweikiza wang’aa

WANAFUNZI  wote waliohitimu elimu ya msingi mwa huu katika shule ya msingi Rweikiza, iliyopo Kata ya Maruku, Wilaya ya Bukoba  mkoani Kagera, wamepata kiwango cha alama ‘A’. Huu ni mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rweikiza aviwezesha vikundi kupata mikopo

ZAIDI  ya vikundi 200 vimewezeshwa kupata mikopo isiyo na riba ya zaidi ya sh milioni 150  inayoratibiwa na Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jasson Rweikiza. Pia mbunge huyo mapema mwaka huu...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM imeleta maendeleo Moshi Vijijini- Chami



MBUNGE wa Moshi Vijijini, Cyril Chami, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeleta maendeleo makubwa katika jimbo hilo tangu kiliposhika madaraka. Chami alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mikocheni,   katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Alisema awali jimbo hilo lilikuwa likiongozwa na viongozi kutoka vyama vya upinzani kwa muda wa miaka 10.
Chami alisema katika kipindi hicho chote, hakuna maendeleo yaliyopatikana, jambo ambalo linaoonyesha kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani