Sabasaba 2014 kuunganisha Uzalishaji na Masoko
![](http://3.bp.blogspot.com/-txYAydWpAJc/U6QL3R3ZxSI/AAAAAAACj8Q/0pD4Uuo5bGo/s72-c/unnamed+(63).jpg)
Na Johary Kachwamba- MAELEZO.
Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam (38th DITF) yanatarajia kuanza tarehe 28 mwezi huu na kufikia kilele chake tarehe 8 Julai 2014 katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya kilwa, jijini Dar-es-salaam.
Akitoa taarifa hiyo leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade Bibi. Jacqueline Mneney Maleko imeeleza kuwa maonesho ya mwaka huu yataongozwa na kauli mbiu isemayo “Tunaunganisha Uzalishaji na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o8-zlkR9syg/U7PDszKje_I/AAAAAAAFuJ8/-cWbUQ200lY/s72-c/unnamed.jpg)
TIB Development Bank yaunganisha uzalishaji na masoko
![](http://2.bp.blogspot.com/-o8-zlkR9syg/U7PDszKje_I/AAAAAAAFuJ8/-cWbUQ200lY/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA SUMAJKT KUSHIRIKI MAONYESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA SABASABA.
11 years ago
Michuzi27 Jun
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
‘Majeshi yatakiwa kuunganisha nguvu’
SERIKALI imeshauriwa kuunganisha nguvu za majeshi yote katika mapambano dhidi ya maadui wa ndani wapya watano ambao ni hatari kwa mustakabali wa Taifa. Akizungumza na Tanzania Daima kwa niaba ya...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Matapeli wa kuunganisha umeme waibuka
SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco) limewataka wananchi kuwa makini na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu ambao wanawarubuni wanaotaka kufungiwa umeme katika makazi yao kwa kuwadanganya kwamba wanaweza kuwasaidia kwa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Mawasiliano mapya kuunganisha Dar, Zanzibar
SERIKALI imezindua mradi wa njia mpya ya mawasiliano unaounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine. Hatua hiyo sasa inafanya Zanzibar kuimarika kimawasiliano hasa...
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Miaka 50 ya Muungano nimeshindwa kuunganisha nukta
JUMAMOSI iliyopita Watanzania tumeadhimisha miaka 50 ya muungano wetu uliotokana na kuunganishwa kwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar Aprili 26 mwaka 1964. Ni maadhimisho yaliyohudhuriwa na...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Vodacom, Tigo sasa kuunganisha huduma
10 years ago
Habarileo31 Mar
Baraza la kuunganisha vijana nchini kuundwa
SERIKALI imesema kwamba Baraza la Vijana litakaloundwa, kitakuwa ni chombo cha kitaifa cha kuwaunganisha vijana kubaini changamoto zinazowakabili, bila kujali itikadi zao za kisiasa, dini, rangi na jiografia na namna ya kuzitatua.