SAGNA AKIWA NA MKE WAKE UFUKWENI MIAMI

Beki wa pembeni wa Manchester City, Bacary Sagna akimtomasa mke wake, Ludivine wakiwa ufukweni, Miami Marekani. Bacary Sagna akiwa na mke wake, Ludivine.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies16 Feb
PICHA: Faiza Atupia Tena Hizi Akiwa Ufukweni!!!!
Mrembo na muigizaji wa filamu, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto mmoja amezibandika picha hizi kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa maeneo ya ufukweni mjini Bagamoyo.
Mbali na ukweli kuwa hapa amevalia nguo za ufukweni, mahabiki wengi wamemshabulia kuwa mavazi haya hayafai kwani yeye sasa hivi ni mama tena amezaa na Muheshimiwa, huku wengine wakisema hapo ndio mahali pake na wa muacha afurahie maisha yake.
Japokuwa ni kweli kuwa Faiza aliwashangaza wengi mwaka jana kwa kuvalia “pampers”...
10 years ago
Vijimambo27 Feb
MKE WA DAVID HAINES ATAKA JIHAD JOHN AKAMATWE AKIWA HAI

Dragana Haines mke wa David Haines,mamlaka zinapaswa kumsaka na kumkamata akiwa hai mtu aliyemuua mume wake kwa kumchinja baada ya kutekwa na kundi la wapiganaji wa dola ya kiislam Islamic State wakati akifanya kazi na shirika la misaada la Uingereza.Mtu aliyemchinja David Haines na wengine tayari amefahamika kuwa ni Mohamed Emwazi.
Bi.Dragana amesema tangu alipojua kuwa mmewe David amechinjwa alijipa matumaini moyoni mwake kuwa ipo siku muuaji huyo atafahamika...
11 years ago
GPL
RED HANDED! NJEMBA AUVAA MTEGO AKIWA NA MKE WA RAFIKI YAKE GESTI
10 years ago
Vijimambo
UTATA : MWANAUME ALIYEMVALISHA PETE JACKY WOLPER ,PICHA YAVUJA AKIWA NA MKE WA NDOA

Kitu ambacho wengi hatujaelewa na wengine wakisema labda ile ya Jack akivishwa pete ni. Movie mpya..Picha hii hapa chini!

5 years ago
CCM Blog
SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO

Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...
11 years ago
GPL
MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Picha:TBT ya Wema Akiwa na ‘Girlzz’ Wake
Leo ikiwa ni ile siku ya mitupo ya nyuma yaani ThrowBackThursday ambapo watu hutupia picha zao za zamani kwenye mtandao wa Instagram, Staa mrembo Wema Sepetu ametupia picha hiyo akiwa na mastaa warembo wenzake, Jackline Wolper na Irene Uwoya.
Wema aliweka picha hiyo na kuiandikia “TBT With My Girlzzz” kisha akawa tag Wolper na Uwoya.
Mbali na picha hii kuleta malumbano ambayo hayakuwa na tija, Swala la urafiki uliokuwepo zamani kati ya wadada hawa na jinsi walivyo hivi sasa ndio...
10 years ago
Vijimambo
MH. NYALANDU AKIWA NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE



10 years ago
Mwananchi12 Aug
Aliyejiita ‘Mungu’ afariki akiwa na wake 35, watoto 95