Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sauti ya mwenyekiti wa NEC akimtangaza magufuli

Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CCM John Pombe Magufuli ndiye rais mteule wa taifa la Tanzania baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DKT SHEIN JIJINI DODOMA


 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM upande wa Zanzibar Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein muda mfupi kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma.

 

5 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA NEC, ATANGAZA KUANZA UHAKIKI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI


HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

MHE.  JAJI WA RUFAA (MST.) SEMISTOCLES KAIJAGE (PICHANI)  KWENYE MKUTANO WA TUME NA  VYAMA VYA SIASA KATIKA

UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE, 

TAREHE 8 APRILI, 2020


•             Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

•             Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,

•             Mkurugenzi wa Uchaguzi,

•             Msajili wa Vyama vya Siasa,

•             Viongozi wa Vyama vya Siasa,

•             Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC leo mjini Dodoma

1. JK akiingia ukumbini

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akipokea shangwe na wajumbe alipowasili katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM White House kuendesha kikao cha Hamlmashauri Kuu (NEC ) ya CCM mjini Dodona leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula.

2. JK ukumbini

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa ukumbini tayari kuongoza kikao hicho leo.

3. Jk na Kinana ukumbini

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kabla ya...

 

10 years ago

Michuzi

Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia

CHAMA  cha  mapinduzi (CCM)  wilaya ya  Ludewa  mkoani  Njombe  kimepata  pigo  kubwa kufuatia  kifo  cha  aliyekuwa  mjumbe  wa  Halmashauri  kuu ya wilaya  hiyo (NEC)  Bi  Elizabeth Haule.Mbali ya  kuwa MNEC  wa  wilaya  hiyo  Haule  pia  alikuwa ni mwenyekiti  wa UVCCM wilaya ya  Ludewa  kabla ya  kujiuzulu kwake mwezi  February mwaka jana baada ya  kuchaguliwa nafasi hiyo ya  NEC na  nafasi   hiyo  kuwa  wazi  hadi sasa.

Katibu   mwenezi  wa  CCM  wilaya  ya  Ludewa  Felix Haule  alisema ...

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yamsafisha Dk Magufuli

>Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) Jaji Damian Lubuva amesema mgombea urais mteule wa CCM, Dk John Magufuli hapigi kampeni bali kinachofanyika ni utambulisho wa mgombea wao kwa wananchi.

 

10 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI ACHUKUA FOMU NEC

Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) Adman Nyando, akimkabidhi fomu ya kuomba kugombea Urais, Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, leo Agosti 4, 2015, katika Ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana. (Picha na Bashir Nkoromo) 

 

11 years ago

Habarileo

Mwenyekiti TLP ampa mbuzi Magufuli

MWENYEKITI Chama cha Tanzania Labour (TLP) wa Mkoa wa Mara, Mafwili Munyaga, amekabidhi mbuzi wawili Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na kumuomba agombee nafasi ya juu katika uchaguzi mkuu ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti wa TLP amfagilia Waziri Dk Magufuli

>Mwenyekiti wa Chama cha TLP mkoani Mara, Mafwili Munyaga amewafagilia Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola kuwa wanafanya kazi nzuri huku akimwomba Magufuli agombee nafasi ya juu kwa madai ni mchapakazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani