Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sekondari ya Nangwa yautoa kimasomaso mkoa wa Manyara

“Kila wakati nimekuwa nikiwasisitiza wananchi wasizibeze shule za sekondari za kata, kwani zina manufaa makubwa kwa jamii kutokana na kuwapatia elimu watoto wetu na sasa shule ya sekondari Nangwa ambayo ipo kijijini imeshika nafasi ya saba kitaifa kwa ufaulu.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015

Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kukushukuru Katibu Tawala Msaidizi ambaye ni Afisaelimu wa Mkoa na Viongozi wenzako katika seksheni ya Elimu kwa kunialika kufungua Mashindano haya ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA).

Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatoa msaada wa vitabu shule ya sekondari Kiteto mkoani Manyara

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imepiga jeki jitihada za serikali za kuhamasisha masomo ya sayansi kwa kutoa msaada wa vitabu vya sayansi kwa shule ya sekondari ya Kiteto iliyopo mkoani Manyara.Msaada huo wenye thamani ya shilingi milioni 1.5 unahusisha vitabu vya fizikia, hisabati, baiolojia na kemia kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma masomo hayo katika shuleni hiyo.Akipokea msaada huo Diwani wa kata ya Central wilayani Kiteto Mh Yahya Masumbuko, amesema shule nyingi wilayani hapo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana aanza ziara ya Mkoa wa Manyara

unnamed

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Katesh wilayani Hanang ambapo aliwaambia wananchi wanapaswa kushirikiana na serikali yao katika kuleta maendeleo na kuachana na mambo mengi yanayoendelea kwenye siasa.

unnamed (1)

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Katesh kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mjini hapo ambapo aliwaambia wananchi CCM imejipanga vizuri sana kiasi cha wananchi wengi kuendelea kuiamini ,alisisitiza nchi nzima ofisi za CCM...

 

9 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya siku ya walimu wa Mkoa wa Manyara

Baadhi ya walimu wa Mkoa wa Manyara wakishikana mikono kwa lengo la kuonyesha umoja na mshikamano daima kwenye maadhimisho ya siku ya mwalimu ambapo kwa mkoa huo zilifanyika mji mdogo wa Mirerani.Mwenyekiti wa chama cha walimu nchini (CWT) Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Abraham Kisimbi akizungumza kwenye sherehe za siku ya mwalimu ambapo kwa mkoa huo zilifanyika mji mdogo wa Mirerani.Walimu wa Mkoa wa Manyara, wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Mahamoud Kambona wakati...

 

10 years ago

Michuzi

MEMBE AUTINGISHA MKOA WA MANYARA, APATA WADHAMINI LUNDO

 Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Ole Porokwa akitambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) kwa umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Mkoa wa Manyara, waliofika katika Ofisi ya CCM ya Mkoa huo wilayani Babati Juni 18.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,200. Waziri wa Mambo ya Nje na...

 

11 years ago

Michuzi

mkuu wa mkoa wa manyara akagua shule maeneo ya wafugaji

 Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza jana na mzazi na mwanafunzi wa shule ya sekondari Naisinyai Wilayani Simanjiro kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo, Mbwilo aliwapongeza mzazi na mwanafunzi huyo wa jamii ya kifugaji kwa kuzingatia elimu.  Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza jana na wakazi wa Kata ya Mirerani, Wilayani Simanjiro, kwenye ziara yake ya kutembelea na kukagua elimu wilayani humo (kushoto) ni Diwani wa kata hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yapongeza juhudi za usafi wa mazingira kwenye shule za Mkoa wa Manyara

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais -TAMISEMI, akikagua uwepo wa maji safi na salama katika moja ya tenki la kuhifadhia maji katika Shule ya Sekondari ya Waschana ya Nangwa, iliyopo Wilaya ya Hanang mkoani Manyara.Wanafunzi katika moja ya Shule, mkoani Manyara wakati wa Ziara ya Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, Dkt Dorothy Gwajima, alipokuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Elaston Mbwilo akagua miradi wailayani Hanang

 Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Bama kuhusiana na suala zima la kuzingatia masomo na kuacha starehe, kwenye ziara yake juzi Wilayani Hanang' (kulia) na Mkuu wa Wilaya hiyo Christina Mndeme. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo (kushoto) akikagua mradi wa umwagiliaji maji mashambani, katika kijiji cha Endagaw Kata ya Endasak, kwenye ziara yake juzi ya kukagua shughuli za maendeleo Wilayani Hanang'.

 

10 years ago

Michuzi

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera azindua zoezi la unywaji maziwa

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akizindua zoezi la unywaji wa maziwa kwenye maadhimisho ya wiki ya 18 ya maziwa ambayo kitaifa ilizinduliwa jana mjini Babati, kwa kuwapa maziwa wanafunzi wa shule ya msingi Babati.Mkuu wa Mkoa wa Manyara Dk Joel Bendera akizinduzi wa wiki ya 18 ya maziwa, ambapo kitaifa inafanyika Mjini Babati, kwa kumpa maziwa mkazi wa mji huo Magdalena Joseph ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni ng'ombe wa maziwa ni fursa ya kiuchumi na lishe fuga kisasa.Mkuu wa Mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani