Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali, Apollo kuanzisha hospitali

SERIKALI kwa kushirikiana na hospitali bingwa ya magonjwa sugu duniani ya Apollo iliyopo nchini India, inatarajia kuanzisha hospitali nchini kwa ajili ya kutoa huduma ya magonjwa hayo badala ya wagonjwa kusafirishwa kwenda India.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali, Apollo kuanzisha hospitali ya magonjwa sugu

Rais Jakaya Kikwete.SERIKALI kwa kushirikiana na Hospitali bingwa ya magonjwa sugu duniani ya Apollo iliyopo nchini India, inatarajia kuanzisha hospitali nchini kwa ajili ya kutoa huduma ya magonjwa hayo badala ya wagonjwa kusafirishwa India.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK aongoza mahusiano kati ya Tanzania na Hospitali za Apollo

kikwete-04

kikwete-05

kikwete-06

Mahusiano kati ya Tanzania na India yalianza miaka mingi iliyopita, tangu kipindi hicho mahusiano haya yamekua kufikia mafanikio ya hali ya juu kwa nchi zote mbili.  Rais Jakaya Kikwete alitembelea nchini India ambapo alikutana na maafisa mbali mbali wa Serikali hiyo ya India pamoja na maafisa watendaji wakuu wa makampuni pamoja na  taasisi mbali mbali.  Pia wakati wa ziara hii Rais alisaini makubaliano ya kushirikiana kati ya serikali ya Tanzania na Hospitali za Apollo nchini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo kuhimiza wagonjwa wa Haemophilia kufanya mazoezi ya viungo

Print

Kujikata, kugongwa na kuchubuka ni ajali za kawaida kwa watu wengi sababu ya shughuli za kila siku, nyumbani na sehemu nyingine ajali hizi hazikwepeki na mara nyingi hazitiliwi mkazo kiafya. Hata hivyo kwa watu wenye haemophilia ajali kama hizo ndio sababu kubwa ya kutufanya kuchukua tahadhari zaidi. Ugonjwa huu kwa kiasi kikubwa ni wa kimaumbile na unadhoofisha uwezo wa mwili kujikarabati wenyewe wakati unapoumia kwa kujikata au michubuko. Taasisi mbalimbali zimekuwa zikijaribu kuongeza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo na jitihada za kuimarisha sayansi ya mfumo wa fahamu Tanzania

Apollo-Bangalore-swa

Umakini kwa mara nyingine tena umewekwa katika uhitaji wa wataalamu zaidi na kuboresha miundombinu ndani ya sekta ya utabibu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu. Hii inakuja baada ya ziara ya hivi karibuni na timu ya madaktari kutoka hospitali ya Apollo nchini India. Madaktari ambao walikuwa nchini kwa lengo la kujenga uhusiano unaoendelea kati ya hospitali hiyo na Tanzania, walipata fursa ya kutembelea taasisi mbalimbali ikiwa ni pamoja na maboresho ya ujuzi wa wauguzi ambao walipata mafunzo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Apollo yafanikiwa kutenganisha mapacha kutoka Tanzania walioungana

Picture1-swahili

Watanzania waendelea kufaidika kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyoko nchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.

Mapacha...

 

10 years ago

Michuzi

Wataalamu wa Magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Apollo India Watembelea Tanzania



Na Mwandishi Wetu, Dar Kwa miaka mingi upatikanaji wa wataalamu wa Afya na matibabu ya uhakika unakabiliwa na changamoto kuu mbili inayowakumba wagonjwa wengi Tanzania.Watanzaniawamekuwa wakisafiri nje ya nchi kupata matibabu ya Figo na magonjwa yanayohusiana na kibofu. Hivyo wataalamu wawili waliobobea katika magojwa ya Figo na Kibofu kutoka Hospitali za Apollo walitembelea nchini Tanzania wakishirikiana na madaktari kutoka Hospital ya Hindu Mandal ili kuwafanyia uchunguzi, kutoa tiba na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo

apollo-03

apollo-04

Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad.  Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo.  Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hospitali za Apollo kutoa huduma za kiafya saa 24 kila siku ulimwenguni kote

Bi. Sangita Reddy, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali za Apollo.

Na Mwandishi Wetu ,

Kurahisisha huduma za afya ulimwengu kote, watojia wakubwa wa huduma za afya kundi la hospitali za Apollo limebuni njia mpya madhubuti ya utoaji wa huduma za afya inayoitwa; Ask Apollo, njia bora mpya mahususi kwa wagonjwa walio mbali. Hii inathibitisha kupiga hatua zaidi kwa hospitali za Apollo na katika uwanja wa afya ulimwenguni.

Jitihada hizi kutoka hospitali za Apollo zitajenga mahusiano rahisi ya...

 

9 years ago

Michuzi

HOSPITALI ZA APOLLO MSTARI WA MBELE KUOKOA MAISHA YA WAHANGA WA MAFURIKO MJINI CHENNAI

Preetha Reddy, Makamu Mwenyekiti wa Hospitali za Apollo,
Na Mwandishi Wetu,CHENNAI ni jiji la tano kwa ukubwa nchini India, jiji hilo limepigwa na janga kubwa la mafuriko ambayo hayajawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, mafuriko hayo yameliacha jiji hilo likiwa hoi na taabani. 
Mafuriko hayo ya kihistoria yalisababisha jiji hilo kukosa huduma muhimu kama umeme, maji safi, chakula, usafiri na mahitaji mengine ya msingi. Idadi ya wagonjwa wengi wameripotiwa kufariki baada ya maji ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani