Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Ukawa itafuta ubabaishaji nchini

Na Ben Saanane

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya  Iringa  Dkt. OwdenburgMdegela Wachungaji na  msaidizi wa Askofu kulia wakifuatilia salam za  pasaka zilizokuwa  zikitolewa na askofu Dkt. Mdegela Waumini  wa KKKT usharika wa kanisa  kuu Iringa leo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na  Francis Godwin, Iringa 
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya  Iringa  Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada  ya Jumapili ya Pasaka leo  kulaani vikali  wale wote  wanaowatukana...

 

11 years ago

Mwananchi

Ubabaishaji wamkimbiza Morocco

Aliyekuwa kocha wa JKT Oljoro, Hemed Morocco ameibuka na kusema kuwa ubabaishaji na ushirikiano duni wa viongozi wapya wa klabu hiyo ndiyo uliomlazimisha abwage manyaga.

 

11 years ago

Ykileo

SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.

Nchini uchina kumezuka gumzo baada ya serikali kupiga marufuku matumizi ya Window 8 katika computa zote za serikali nchini humo. Taarifa iliyo chapishwa na “CHINA DAILY” ilibainisha uamuzi huo wa serikali uliowekwa kwenye tovuti ya serikali ya nchini humu ambapo ilisisitiza zoezi hilo hali husu komputa za watu binafsi isipokuwa zile zinazotumiwa na serikali.


Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara ya Maliasili inaongozwa kwa ubabaishaji

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imesema Wizara ya Maliasili na Utalii inaongozwa kwa ubabaishaji na ‘mvutano wa kimasilahi’ baina ya waziri na katibu mkuu, hivyo kukwamisha shughuli za kuendeleza utalii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota Yanga: Ubabaishaji umenistaafisha soka mapema

KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima, katika safu ya ‘Jicho Letu Mtandaoni’ inayokujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi yanayojiri katika kurasa/akaunti za...

 

11 years ago

Mwananchi

Katibu wa Yanga aponda ubabaishaji katika soka

Soka la Tanzania limegubikwa na mfumo mbovu, wanaolisimamia wamekuwa vigeugeu kuanzia viongozi mpaka mashabiki,” anasema Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ubabaishaji huu TOC, TFF unaiathiri Twiga Stars

Mashindano makubwa ya Michezo ya 11 ya Afrika ambayo hufanyika kila baada ya miaka minne yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia mwezi ujao jijini Brazzaville, Kongo.

 

11 years ago

Habarileo

Nape asema ni ndoa ya Chadema, CUF, NCCR ya ubabaishaji

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeKATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu TPA, alalamikiwa kwa ubabaishaji

Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande baada ya kuwepo malalamiko ya ubabaishaji katika zabuni mbalimbali za mamlaka hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani