Serikali yafutia viwanda vibali vya kuni, magogo
SERIKALI imesitisha vibali vyote vilivyotolewa kununua kuni na magogo kwa ajili ya nishati ya kuendesha viwanda mbalimbali nchini na badala yake imevitaka ndani ya muda wa miezi mitatu kuanzia jana viwe vinatumia teknolojia ya makaa ya mawe, umeme na gesi kwa ajili ya kuviendesha viwanda vyao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Oct
Kinana azuia vigogo kuomba vibali vya magogo
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa CCM na wale wa Serikali Kuu na mitaa kutojihusisha na uombaji wa vibali vya kuvuna magogo katika shamba la Serikali la Sao Hill, iwapo wanataka kutenda haki kwa wananchi wanyonge.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Mbene: Wizara haitoi vibali matumizi ya magogo
SERIKALI kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara, imesema haina mamlaka ya kutoa vibali vya matumizi ya magogo ya miti kwa ajili ya viwanda. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Serikali yasitisha vibali vya matangazo ya tiba asili
10 years ago
Habarileo09 Jun
Serikali yatoa vibali vya madini kwa wananchi
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga amesema, serikali imekuwa ikitoa vibali vya uchimbaji wa madini kwa wananchi wanaohitaji kufanya hivyo, pindi inapogundua kuna maeneo yana madini.
9 years ago
MichuziSERIKALI KUFANYA OPERASHENI YA KUKAGUA VIBALI VYA AJIRA KWA WAGENI
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
TAS Geita wataka Serikali kufuta vibali vya waganga wa jadi
Wakazi wa kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita wakianza maandamano ya matembezi ya amani ya kupinga mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ule mavu wa ngozi yaliyofanyika mwishoni mwa wiki.
Na Alphonce Kabilondo, Geita .
MWENYEKITI wa Chama cha walemavu wa ngozi (Albinisms) (TAS) mkoani Geita, Bw Issack Timothy ameitaka serikali kufuta vibali vya waganga wajadi nchini ili kukomesha mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na waganga wa jadi kuwa chanzo...
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JBH6EnXHHYI/Xm8F2FS6SsI/AAAAAAALj20/iguVWyX29LgIJ5XvZqI9T4WSKX_Y2bdhwCLcBGAsYHQ/s72-c/04.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...