Serikali yataja asasi 24 zitakazofutwa
Dar es Salaam. Serikali imeanza kutimiza ahadi yake ya kuyafuta mashirika na asasi zisizo za kiserikali, NGO, yakiwamo ya kidini na kwa kuanzia imetangaza kusudio la kuzifuta asasi 24 katika kipindi cha siku saba kuanzia jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Serikali yataja tarehe ya kujiandikisha
11 years ago
Habarileo18 Apr
Serikali yataja kinachokwamisha mawasiliano vijijini
SERIKALI imesema changamoto kubwa inayozuia kufika kwa mawasiliano vijijini ni kukosekana kwa utayari kwa kampuni za simu za mikononi kutoa huduma hizo.
11 years ago
Habarileo21 Jun
Serikali yataja mikakati ya kulipa madeni ya walimu
SERIKALI imeweka bayana mikakati yake ya kukabiliana na deni la walimu, ambao ni sehemu kubwa ya watumishi wake.
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b2PxK2hdcZI/XqRi3eEsqeI/AAAAAAALoOA/MMggTXebq6gUjkMEDtH0sU7Rw3VsVdyhQCLcBGAsYHQ/s72-c/7c15c649-2ad1-4c8d-9511-abe2158f9941.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA
Na.WAMJW,Dar es Salaam.
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Asasi za Kiraia (AZAKI) katika kupambana na janga la ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wakati akipokea andiko na mpango mkakati wa Asasi za Kiraia(AZAKI) kuhusu janga la COVID -19 nchini.
Naibu Waziri Ndugulile alisema AZAKI pamoja na wananchi wanao wajibu wa...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Serikali yajipanga kufuta usajili asasi za kijamii
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30SQDW9_eY8/XqRuRBE1ECI/AAAAAAALoO8/YX-VfaQBd2gRGAMBN9JvMhFbCtPJyNQXwCLcBGAsYHQ/s72-c/f1cc5569-5b7c-4192-838c-30ef457f72e3.jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Oct
WB yataja sababu za umaskini Afrika