Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yataja asasi 24 zitakazofutwa

Dar es Salaam. Serikali imeanza kutimiza ahadi yake ya kuyafuta mashirika na asasi zisizo za kiserikali, NGO, yakiwamo ya kidini na kwa kuanzia imetangaza kusudio la kuzifuta asasi 24 katika kipindi cha siku saba kuanzia jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yataja tarehe ya kujiandikisha

Wananchi wametakiwa kujitokeza kujiandikisha katika daftari maalumu la kupigia kura kuanzia Novemba 23 hadi 29 kwa ajili ya kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yataja kinachokwamisha mawasiliano vijijini

SERIKALI imesema changamoto kubwa inayozuia kufika kwa mawasiliano vijijini ni kukosekana kwa utayari kwa kampuni za simu za mikononi kutoa huduma hizo.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yataja mikakati ya kulipa madeni ya walimu

SERIKALI imeweka bayana mikakati yake ya kukabiliana na deni la walimu, ambao ni sehemu kubwa ya watumishi wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba

>Serikali imeyataka makundi mbalimbali ya watu yanayopenda majina yao kuteuliwa kuwa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kufanya hivyo kabla ya Januari 2, 2014 saa tisa alasiri.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA


Na.WAMJW,Dar es Salaam.
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Asasi za Kiraia (AZAKI) katika kupambana na  janga la ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).

Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam  na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile  wakati akipokea andiko na mpango mkakati wa Asasi za Kiraia(AZAKI) kuhusu  janga la COVID -19 nchini.

Naibu Waziri Ndugulile alisema AZAKI pamoja na wananchi  wanao wajibu wa...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI

  Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema sababu ya kutotangaza mwenendo wa ugonjwa wa Corona ni kutokana na maboresho yanayofanyika kwenye Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, ambapo kuna marekebisho yanafanyika na ndani ya siku chache marekebisho yatakamilika na watatoa taarifa.
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yajipanga kufuta usajili asasi za kijamii

Wizara ya Mambo ya Ndani imetishia kuvifutia usajili vyama vyote vya kijamii vinavyokiuka kanuni na sheria kuanzia Oktoba mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

WB yataja sababu za umaskini Afrika

Sera mbovu, rushwa, migogoro, kukosekana kwa uwazi ni miongoni mwa vyanzo vya umaskini katika nchi za Afrika, imeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani