Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SGS waanza mgomo usio na kikomo

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya usafirishaji na ukaguzi ya SGS, jana walianza mgomo usio na kikomo, wakishinikiza kupewa haki zao za msingi ikiwemo mikataba ya kudumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO MBALIMBALI VYA MOTO WAANZA LEO


Muonekano wa abiria wakiwa stendi ya Ubungo jijini Dar es Salaam (Picha na Maktaba).
MADEREVA wa vyombo mbalimbali vya moto, nchi nzima leo asubuhi wamegoma kusafirisha abiria ili kuishinikiza serikali kuondoa kero mbalimbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa ajira za uhakika pamoja na agizo la kutaka kwenda kusoma.Awali kabla ya mgomo wa leo, Katibu wa Muungano wa vyama vya madereva Bw. Rashid Saleh, alisema baadhi ya kero zitakazopelekea mgomo wa leo ni pamoja na suala la kurudia kusoma...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus:Wauguzi wa wagonjwa waliombukizwa virusi vya corona Kenya waanza mgomo baridi

Wauguzi wanaofanya kazi katika wodi iliyotengwa kwa watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya wameanza mgomo baridi kulalamikia kile wanachodai kuwa ukuosefu wa vifaa vya kujikinga na mafunzo ya kutosha.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tukumbushane utatu usio mtakatifu

NIMEPATA kuandika kupitia safu hii mwaka 2008.

Maggid Mjengwa

 

10 years ago

Habarileo

17 kortini kwa mkusanyiko usio halali

POLISI wilayani Igunga mkoani Tabora imewafikisha mahakamani watu 17 wakishtakiwa kufanya mkusanyiko usio halali karibu na jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga ambalo lilikuwa likitumika katika shughuli za kuhesabu kura za uchaguzi mkuu wa majimbo ya Igunga na Manonga.

 

11 years ago

Mwananchi

Usalama gani huu usio salama?

Dereva mpya alikabidhiwa basi la abiria. Safari yake ya kwanza ilianzia Mbeya mjini kuelekea Kyela. Aliendesha kwa umakini mkubwa na kwa kadiri alivyosomea fani yake pale Mbeya Tech.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wengi washuhudia mwezi usio wa kawaida

Watu wengi kote duniani wamekuwa wakitazama tukio la kawaida la kupatwa kwa mwezi ambalo limetokea wakati mmoja na kuonekana kwa mwezi mkubwa angani.

 

11 years ago

Mwananchi

Upendo usio na mrejesho unaua uzalendo

Neno upendo ni neno ambalo kila mtu atakubaliana nami kwamba ni neno linalotumika sana wakati wa kuashiria uhusiano kati ya kiumbe cha aina moja na chenzake cha aina hiyo au na viumbe vingi vyenye. Kiumbe chenye uwezo wa kutoa upendo kwa kiumbe kingine hakika kinasifiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni lini tutakuwa na uchaguzi usio na kasoro tele?

Kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba, serikali za mitaa ni vyombo vya wananchi ambavyo huundwa, huendeshwa na huwajibika kwa wananchi.

 

10 years ago

Mtanzania

Masha kizimbani kwa mkutano usio halali

mashaVeronica Romwald na Jonas Mushi, Dar es Salaam

WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa zamani, Lawrence Masha leo anatarajiwa kufikishwa mahakamani mjini Mpanda mkoani Katavi kwa mashitaka mawili likiwamo la kufanya mkutano na kuingia kwenye kambi ya wakimbizi bila kibali.

Masha ambaye ni wakili wa kujitegemea na ambaye hivi karibuni alijiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akitokea Chama Cha Mapinduzi (CCM) anashikiliwa na wenzake sita mkoani Katavi.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani