Shyrose Banji matatani
MVUTANO mkubwa unaoendelea ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA) umekwamisha shughuli za Bunge hilo kutokana na baadhi ya wabunge kugomea, wakitaka kwanza Mbunge kutoka Tanzania, Shyrose Bhanji achukuliwe hatua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Shyrose Bhanji afunguka ugonjwa unaomsumbua
Mbunge katika bunge la Afrika Mashariki,Shyrose Bhanji amefunguka ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu uliomfanya alazwe katika hospitali ya Agha Khan,jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm, Shyrose alisema kuwa amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pumu(asthma) kwa muda mrefu tangu akiwa mdogo lakini safari hii ugonjwa ulizidi sana hali iliomfanya kulazwa hospitali kwa siku kadhaa.
‘’Huu ugonjwa huwa unanisumbua kwa muda mrefu lakini hadi kufikia hatua ya kulazwa ni safari hii hali ilikuwa mbaya...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Shyrose Bhanji ‘alivuruga’ Bunge Eala Mashariki
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Shyrose,Halima Mdee wajitolea kujenga barabara ya Mbweni
Wabunge Shyrose Bhanji na Halima Mdee(Kawe) wamejitolea kujenga barabara ya Mbweni Malindi iliyopo nje ya jiji la Dar Es Salaam baada ya barabara hiyo kuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo akiwemo mh.Shyrose Bhanji mwenyewe.
Shyrose alisema kuwa barabara hiyo ilikuwa kero kiasi kwamba alikuwa akilazimika wakati mwingine kulala mjini kutokana na ubovu wa barabara hiyo .
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Shyrose Bhanji kuwafariji wasiojiweza,wagonjwa siku ya Wapendanao
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shyrose Bhanji anatarajia kusherekea na watu wasiojiweza pamoja na kutembelea watu mbalimbali wanaosumbuliwa na magonjwa waliopo hospitalini ili kuonyesha upendo kwao.
Shyrose alibainisha hilo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook, wakati wa kujibu maswali kadhaa ya marafiki na jamaa kufuatia post yake ailiyoitupia kuwaomba fans hao kupiga nao...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s72-c/Bana.jpg)
SHYROSE BHANJI MGENI RASMI USIKU WA LADY IN RED 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-w1N7MGNHahw/VNY1P2BjIoI/AAAAAAADXww/T792RDu83PU/s1600/Bana.jpg)
..Kufanyika Nyumbani Lounge Ijumaa Februari 13
Na Andrew Chale
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Mh. Shy rose Bhanji anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye usiku maalum wa Lady In Red 2015, Ijumaa ya Februari 13, kwenye ukumbi wa M.O.G Bar (Zamani Nyumbani Lounge) huku mitindo ya nguo nyekundu zitauzwa kwa ajili ya siku ya wapendanao ‘Valentine day’.
Mwaka huu ni wa 11, tokea kuanzishwa kwa Lady in red, ambapo itajumuisha wanamitindo...
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mh.Shyrose Bhanji awashukuru wote waliomtakia nafuu alipokuwa amelazwa Hospitalini
Shyrose Bhanji akiwa na Mwanamuziki wa Lady Jay Dee alipomtembelea wakati amelazwa Hospitaali ya Agha Khan, jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Shy-Rose Bhanji. Aliyekuwa amelezwa hivi karibuni katika hospitali ya Agha Khan, jijni Dar es Salaam amewashukuru watu mbalimbali kwa nafasi zao ikiwemo kumjulia hali ha kumtakia pole wakati alipokuwa amelazwa hospitali kwa siku nne.
Kupitia mtando wake wa kijamii Shyrose alitumia wasaha huo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mGal7DikqDU/VNaZzuUwiRI/AAAAAAAHCZs/UF2ucM92scM/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Zuma matatani
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
TBS matatani
SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia kwenye kashfa ya kuvikingia kifua viwanda vinavyozalisha na kusambaza bidhaa zisizokidhi viwango, jambo ambalo linaweza kuhatarisha maisha ya wananchi wengi kutokana na baadhi ya...