Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siasa zamkimbiza Mtawala TFF

Mkurugenzi wa Uanachama na Sheria wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Evodius Mtawala amejiuzulu nafasi hiyo, huku siasa zikitajwa kuwa ndiyo chanzo cha mtendaji huyo kuachia ngazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwesigwa, Mtawala ‘wafunguka’ ajira TFF

KATIBU Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine na Mkurugenzi wa Vyama Wanachama na Masuala ya Kisheria, Evodius Mtawala, wameahidi uwajibikaji na umakini katika utekelezaji wa majukumu...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwesigwa aahidi uwazi, Dalali, Mtawala, Dauda waula TFF

Katibu mkuu mpya wa Shirikisho la Soka  Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa ametambulishwa  rasmi jana kuchukua mikoba ya Angetile Osiah na kuahidi kufanya kazi kwa uwazi na ushirikiano.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

Vijimambo

TFF: RUKSA WACHEZAJI KUTUMIKA KATIKA KAMPENI ZA SIASA, LAKINI WASIVAE JEZI


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema halizuii mchezaji kufanya kampeni za siasa, isipokuwa wasitumie sare za kimichezo hususan zenye nembo za wadhamini.Hatua hiyo inafuatia TFF kubaini kuwepo kwa vitendo vya wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za klabu na wadhamini wa Ligi.Taarifa ya TFF imesema kwamba Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtawala aachia ngazi Simba

BAADA ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala kuikwaa nafasi ya Mkurugenzi wa Uanachama na Sheria ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ameachia ngazi Msimbazi. Mtawala ambaye ni mwanasheria...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mola atujalie rais ajaye awe kiongozi asiwe mtawala

RAIS wangu, waliosoma kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu ukurasa wa 96 imeandikwa; ‘Kijana mmoja mwenye hasira akamuuliza, sasa mheshimiwa unakwenda kwenu, ule uzalendo uliokuwa unaupigia baragumu unamwachia nani? Aliyekuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Shiekh Mohammed Al Maktoum: Je mtawala huyu wa Dubai ni mtu wa aina gani?

Bilionea huyo ameimarisha milki hiyo ya kiarabu na kuifanya kituo kikiuu cha Biashara na utalii.

 

11 years ago

Michuzi

MABALOZI WADOGO DUBAI WASHIRIKI SALAAM ZA RAMADAN KWA MTAWALA WA FALME YA UMM AL QUWAIN NA FUJAIRAH

 Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mheshimia Omar Mjenga akiwa na wanadiplomasia wenzake  kwenye salaam hizo za mtawala wa Umm Al Quwain. Wa tano kushoto mwa Mhe. Mjenga ni mtawala wa Falme ya UMM AL Quwain.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani