Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwesigwa, Mtawala ‘wafunguka’ ajira TFF

KATIBU Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine na Mkurugenzi wa Vyama Wanachama na Masuala ya Kisheria, Evodius Mtawala, wameahidi uwajibikaji na umakini katika utekelezaji wa majukumu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwesigwa aahidi uwazi, Dalali, Mtawala, Dauda waula TFF

Katibu mkuu mpya wa Shirikisho la Soka  Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa ametambulishwa  rasmi jana kuchukua mikoba ya Angetile Osiah na kuahidi kufanya kazi kwa uwazi na ushirikiano.

 

10 years ago

Mwananchi

Siasa zamkimbiza Mtawala TFF

Mkurugenzi wa Uanachama na Sheria wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Evodius Mtawala amejiuzulu nafasi hiyo, huku siasa zikitajwa kuwa ndiyo chanzo cha mtendaji huyo kuachia ngazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtawala aachia ngazi Simba

BAADA ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala kuikwaa nafasi ya Mkurugenzi wa Uanachama na Sheria ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ameachia ngazi Msimbazi. Mtawala ambaye ni mwanasheria...

 

9 years ago

Michuzi

MWESIGWA KUONGOZANA NA SAMATTA NIGERIA

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika  Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya sherehe hizo Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

MISA YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI

Familia ya Mwesigwa inapenda kuwataarifu kuwa kutakuwa na misa ya kumuaga mpendwa wao Mwesigwa Blandesi itakayofanyika siku ya Jumamosi May 31,2014 kuanzia saa Nane na nusu mchana mpaka saa kumi na moja na nusu jioni(2:30-5:30pm) katika Kanisa la "Resurrection Lutheran Church", 397 Euclid Avenue, Oakland California 94610.
Baada ya misa kutakuwa na mkusanyiko wa ndugu jamaa na marafiki wote kwenye ukumbi wa "Resurrection Lutheran Church"  katika kusheherekea maisha na kumbukumbu ya...

 

11 years ago

Michuzi

FAMILIA YA MAREHEMU MWESIGWA BLANDESI YATOA SHUKRANI


Wapendwa Jamaa, marafiki na Watanzania wenzetu kwa ujumla,

Familia ya Marehemu Mwesigwa Blandesi kwa pamoja na familia ya Byorwango hapa California,Tunapenda kutoa shukrani za dhati  naza kipekee kwa wote mlioshiriki kikamilifu katika njia zote za mwanzoni mpaka mwishoni mwa maisha ya marehemu Blandesi Mwesigwa aliyefariki May 26 2014.
Tunashukuru mengi, kuanzia, mchango ya matibabu, ushirikiano wa kuuguza, sala, mawazo, na kuwa pamoja na kwa ukaribu katika shughuli zote za msiba mojawapo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mola atujalie rais ajaye awe kiongozi asiwe mtawala

RAIS wangu, waliosoma kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu ukurasa wa 96 imeandikwa; ‘Kijana mmoja mwenye hasira akamuuliza, sasa mheshimiwa unakwenda kwenu, ule uzalendo uliokuwa unaupigia baragumu unamwachia nani? Aliyekuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Shiekh Mohammed Al Maktoum: Je mtawala huyu wa Dubai ni mtu wa aina gani?

Bilionea huyo ameimarisha milki hiyo ya kiarabu na kuifanya kituo kikiuu cha Biashara na utalii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani