Siku 29 za Magufuli
Wakati mgombea urais wa CCM John Magufuli ametimiza siku 29 za kampeni, baadhi ya maeneo aliyopita kuwanadi wagombea ubunge wa chama chake, alikutana na wakati mgumu kwa baadhi ya wabunge kukataliwa na wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-I/4NDLGYREfv0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
BREAKING NYUZZZZ....: RAIS MAGUFULI ATANGAZA SIKU YA UHURU KUWA SIKU YA KUFANYA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LDRHNssOdPU/VlL_0MSOXHI/AAAAAAAIH-I/4NDLGYREfv0/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Kwamba maadhimisho ya Uhuru ya mwaka huu (2015) yatatumika kama kichocheo cha kujenga tabia ya kufanya kazi...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Siku 21 za mchakamchaka wa Magufuli
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Siku 10 kampeni za Dk Magufuli
9 years ago
Mwananchi05 Dec
Siku 30, Magufuli aokoa Sh1trilioni
9 years ago
Habarileo21 Oct
Magufuli kutikisa Dar kwa siku 3
MGOMBEA wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli leo anaanza kampeni katika mkoa wa Dar es Salaam, ambako atanguruma kwa siku tatu. Atafanya kampeni Dar, baada ya kutikisa katika mikoa ya Mwanza na Geita. Jana, Dk Magufuli alikuwa na mikutano katika baadhi ya majimbo ya Geita.
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Magufuli atoa siku 7 kwa wapigaji
>> Awaambia wasipolipa kodi ndani ya muda huo wataisoma namba
>> Afichua serikali kutopeleka fedha za maendeleo Wizarani
>> Amuonya mfanyabiashara anayetaka kumili ufukwe wa Coco
Na Kulwa Mzee , Dar es Salaam
RAIS Dk. John Magufuli, ametoa siku saba kwa wafanyabiashara waliopitish makontena yao bandarini bila kulipa kodi, kujisalimisha wenyewe na kulipa fedha hizo za serikali na watakaokamatwa baada ya muda huo watachukuliwa hatua zaidi za kisheria.
Kauli hiyo ya Rais Magufuli, imekuja siku...
9 years ago
Habarileo05 Nov
Singida wamwomba Magufuli siku ya Ukimwi
WAKATI Rais mteule, Dk John Magufuli anaapishwa leo kushika wadhifa huo rasmi, mkoa wa Singida umemwomba awe mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yatakayofanyika kitaifa mjini hapa, Desemba mosi mwaka huu.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN-pXbjozHJ6bbOkiSnUKrObvpob6gZXWHtjaM37hQjBwIHq7K*NFnVODnPS0h1M0NB9tGDMf1FC*tRNQmzQNR*O/1copy.jpg?width=750)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N02dv62fD_c/default.jpg)