Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKU MOJA KILA MPENZI ASHINDE NA SIMU YA MWENZAKE TUONE!

MPENZI msomaji wa Love & Life napenda kukukaribisha katika mada nzuri ya wiki hii inayosema siku moja, kila mpenzi ashinde na simu ya mwenzake…tuone! Nianze kwa kusema tu, naamini mada hii itakuwa ni ngumu sana kwa wapenzi wa zama hizi za kizazi kipya, bila kujali wahusika kama ni wapenzi, wachumba au wanandoa, bado ugumu nauona akilini mwao. Kwa nini?
Kama kweli mnapendana hakuna ugumu wowote, ila ugumu unakujaje?...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MPENZI WA KUPITIWA NA SHETANI KILA SIKU WA KAZI GANI?

Kila mmoja anafahamu umuhimu wa mapenzi katika maisha ya binadamu. Ndiyo maana kila siku watu wamekuwa wakihakikisha wanawapata wapenzi ambao watawaongezea furaha katika maisha yao. Ambao wameyakosa mapenzi ya dhati wameathirika sana kisaikolojia na kushindwa kutimiza majukumu yao ya kila siku ipasavyo huku wengine wakifikia hatua ya kukatisha maisha yao kwa kujiua. Hiyo yote inaonesha ni jinsi gani mapenzi yana nafasi katika...

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA AIRTEL KUSHINDA GARI MOJA KILA SIKU‏

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, Levi Nyakundi (kushoto) na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Beatrice Singano Mallya (kulia) wakionyesha kipeperushi wakati wakizindua rasmi  promosheni ya 'Airtel Yatosha Zaidi' ambapo wateja watakaojiunga na bando la yatosha watapata nafasi ya kushinda kila siku gari  moja aina ya Toyota IST. Uzinduzi wa promosheni hiyo ulifanyika jijini Dar...

 

10 years ago

Michuzi

Amby Lusekelo anakuletea tamthilia ya #Kitendawili kila siku kupitia simu TV

Amby Lusekelo anakuletea tamthilia ya #Kitendawili. Tamthilia hii inaendelea kwa hiyo usikose wiki nzima ya mikasa kupitia simu TV

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West hutumia zaidi ya shilingi milioni moja kila siku kunyoa nywele

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am

Kanye West anadai kutumia $500 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni moja kunyoa nywele.

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am

Kwa mwaka hiyo inaaminisha kuwa hutumia zaidi ya $180,000.

Taarifa hizo zilisemwa na baba yake Rihanna kwenye mahojiano na jarida la Heat, Ronald Fenty, aliyesafiri na Kanye na mwanae kwenye ziara yao mwaka 2010.

“It’s crazy – he pays his barber $500 a time,” alisema. “I don’t understand how that much hair gets taken off. Kanye just loves the fresh look.”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

11 years ago

Michuzi

NHC yakanusha tuhuma zilizoandikwa na moja ya Gazeti la kila siku juu ya Mkurugenzi Mkuu wake

1Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuaia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe Mkuu wa Kitengo cha Sheria na Benedict Kilimba Mkurugenzi wa Uendeshaji Miliki2

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!

Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu

 

11 years ago

Michuzi

Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyotakiwa kuchangia marehemu.  Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Freddy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.Kamanda  Misime amesema walimu hao wote wawili wanalikuwa wakiishi katika nyumba moja na walikuwa wakichangia bili ya umeme katika nyumba...

 

11 years ago

BBCSwahili

Binyavanga:Mimi ni mpenzi wa jinsia moja

Mwandishi maarufu wa vitabu nchini Kenya, Binyavanga Wainaina, amejitokeza hadharani kuwa yeye hushiriki mapenzi ya jinsia moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani