Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba, JKT ni presha mpya

Simba iliyojeruhiwa na Mbeya City Jumatano iliyopita, inashuka tena uwanjani leo kujiuliza dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kiongera, Majwega washusha presha Simba

Dar es Salaam. Baada ya kunasa saini za wachezaji watatu, ni dhahiri presha imeshuka kwa uongozi Simba.

 

10 years ago

Mwananchi

Msola: Simba ilitulia, presha ilitawala Yanga

Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars, Mshindo Msola amesema Simba ilitulia na ilikuwa na nguvu zaidi ya kushambulia wakati Yanga walipwaya upande wa walinzi wa pembeni kwa sababu ya presha wakati timu hizo zilipokutana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

 

11 years ago

Michuzi

Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0

Mchezaji wa Timu ya JKT Ruvu,Emmanuel Switta akimpeleka markiti Golikipa wa timu ya Simba, Yaw Berko kwa mkwaju mkali wa Penati na kuiandikia timu yake bao la pili katika Mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara,unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.hadi mapumziko Simba wamelala kwa Bao 2 - 0.kipindi cha pili kimeanza hivi punde na tutaendelea kujuzana kinachojili.
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyojionea Simba vs Mgambo JKT Tanga

“TULIKUWA tunamsikia tu Mzungu wa Simba. Kumbe ndie huyu, hana lolote,” alisikika mmoja wa mashabiki na wakazi wa Tanga wakati mechi ya maafande wa Mgambo JKT ya jijini hapa dhidi...

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC target JKT Oljoro scalp

An arduous task awaits JKT Oljoro when they take on in-form Simba SC in the Vodacom Premier League match at the National Stadium this afternoon.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba swing to face JKT Ruvu test

 Simba SC swing back into action today, seeking to end their Vodacom Premier League winless run when they host Ruvu Shooting at the National Stadium.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba, JKT Ruvu kazi ipo Taifa

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba leo itakuwa na shughuli pevu ya kusaka ushindi itakapovaana na JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni.

Simba itaingia dimbani ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa mabao 2-1 na Mbeya City kwenye mchezo uliopita uliofanyika Jumatano iliyopita, JKT Ruvu wao waliambulia sare ya bao 1-1 walipovaana na Mtibwa Sugar.

Kipigo dhidi ya Mbeya City kilipelekea...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba SC yatulizwa Mbeya, JKT Ruvu safi

Ndoto ya Simba kuwania ubingwa msimu huu imezidi kudidimia baada ya kulazimishwa sare 0-0 na Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, huku JKT Ruvu ikiwachapa Mtibwa Sugar 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani