Sita wafa baada kifusi kuwafunika
Watu sita wamepoteza maisha na wengine watatu wamejeruhiwa vibaya baada ya gema kuwafukia wakati wakiwa ndani ya machimbo ya mchanga Pomwani, wilayani Moshi, Kilimanjaro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Dec
Kifusi chaua watu sita
WATU sita wakiwemo wanafunzi wawili wamekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakichimba mchanga katika eneo la Pumwani wilayani Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro. Tayari serikali imeyafunga machimbo yote mkoani humo yakiwamo yaliyosababisha vifo hivyo, ili kuepusha athari zaidi kwa wachimbaji wengine, ikizingatiwa kuna mvua za vuli zinazoendelea maeneo mbalimbali nchini.
10 years ago
Habarileo13 Jun
Sita wafa katika ajali, 45 wajeruhiwa Singida
WATU sita wamekufa na wengine 45 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti za barabarani zilizotokea juzi na jana mkoani Singida.
9 years ago
Mwananchi31 Oct
Watu sita wafa ajalini Mikumi mkoani Morogoro
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqFvw18kiKeJR8CRsLh5StEOpCqoKRUTWVkitZqf6XjRRuJhQfxZrZ5EDf2oRzGpTOSoqZpk2bSo6u-zFoOULJy/1.jpg?width=650)
WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeN0USWN0ePczV5SNlUe7WhJ9f9W4rACov6pIjTVPD8lHdbttw2YDgvtSJF-wH20uKIdf11ZBgmGdwFtU2DyWMh/150430072306_nepal_teenager_rescued_five_days_640x360_reuters_nocredit.jpg?width=650)
NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s72-c/IMG-20140714-WA0003.jpg)
Breaking Nyuzzzz: WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s1600/IMG-20140714-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sbP_7JUmCV0/U8OoDrN-K8I/AAAAAAAF2BY/fJ2wMNQwu5Y/s1600/IMG-20140714-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V4iA-UKltU/U8OoFVH2-8I/AAAAAAAF2Bg/WrquhKDeEjA/s1600/IMG-20140714-WA0000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4eheHYrXlEA/U8OoHnxpleI/AAAAAAAF2Bo/3xoFkONwSvE/s1600/IMG-20140714-WA0001.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.
Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...