Sita wavuliwa udiwani Bukoba
>Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimepoteza madiwani watano na CUF ikipoteza mmoja baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kagera kutengua udiwani katika kata sita Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, ikieleza kuwa madiwani wamepoteza sifa kwa kushindwa kuhudhuria vikao halali vilivyoitishwa kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SITA WAVULIWA UDIWANI NA MAHAKAMA.
11 years ago
Habarileo21 Jun
Madiwani 5 CCM, mmoja CUF wavuliwa udiwani
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Kagera, imewavua madiwani sita nyadhifa zao baada ya kubainika kuwa, walishindwa kuhudhuria vikao vya kikanuni vya halmashauri ya manispaa hiyo, hivyo kupoteza sifa za kuendelea kuwa madiwani. Madiwani hao waliovuliwa nyadhifa zao jana, pia wametakiwa kulipa gharama za kesi hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
18 wavuliwa uchungaji Moravian
ASKOFU wa Kanisa la Moravian Tanzania, Jimbo la Kusini, Dk. Lusekelo Mwakafwila, amewavua uchungaji waamini 18 wa kanisa hilo baada ya kuridhika kwamba walikaidi uamuzi halali wa Sinodi na kufanya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TBTtHJXa-xQ/VaBsK2GlGTI/AAAAAAAATIA/54nL_gbOBvo/s72-c/10406768_847430768637571_4306938687360913185_n.jpg)
WALIOTUHUMIWA MAMLUKI CHADEMA WAVULIWA UONGOZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TBTtHJXa-xQ/VaBsK2GlGTI/AAAAAAAATIA/54nL_gbOBvo/s640/10406768_847430768637571_4306938687360913185_n.jpg)
Na Bryceson Mathias, Kilosa.NGUVU ya Umma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Ruaha, Jimbo la Mikumi, Wilaya ya Kilosa, Morogoro, wamewavua Uongozi waliokuwa Viongozi wao na kuweka Kamati ya Muda (Task Force), kwa madai ya kuwa Mamluki ndani ya Chama chao.
Waliovuliwa Uongozi na kubaki na Uanachama ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kata, George Banda, Katibu, Ally Mponda, Katibu Mwenezi, William Temu, Mweka Hazina, Aurelia Mnunga, na Mjumbe wa Kamati Tendaji, Mwalimu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DK KITILA, MWIGAMBA WAVULIWA UANACHAMA CHADEMA
10 years ago
Michuzi10 Nov
TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10752811_770834002964751_455102368_o.jpg?oh=1b89da316447ce5456c59eea956c7805&oe=5462769C&__gda__=1415735297_d1eda4e9eae9628497d28db49c7d9c9c)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756902_770833936298091_1412211642_o.jpg?oh=df5bd8d068977a689b210b8b030473d2&oe=54628C36&__gda__=1415725734_19a16af4460517cf12be00f2e2781bad)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756381_770834029631415_705668584_o.jpg?oh=eda6bf3b244a53b846c4ed32f0f6e2fa&oe=546162C3&__gda__=1415747358_87e2c5577877db45dcbb9fd81e7630bf)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10800141_770834039631414_1976091569_o.jpg?oh=a5c1771383731ea0acdec7b125bfb108&oe=5462418C&__gda__=1415741276_4f4754d09da2f2a78b6ba91df65c7aca)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10804803_770834756298009_337901727_o.jpg?oh=fc23a3cb26948c1c8b3bb68c6a3b9f28&oe=546265DB&__gda__=1415723846_a1f865015e7f299d994a377bf2b88c91)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10754454_770834052964746_574637670_o.jpg?oh=51a663cd977916c2986e45856d0b26c7&oe=54627FCE&__gda__=1415672915_40d4df5bbec4f4c60f793846c11033ca)
10 years ago
Daily News04 Oct
Bukoba residents demand rest of compensation over Bukoba airport
Daily News
ABOUT 18 people are demanding to be paid over 400m/- compensation as a result of the rehabilitation and upgrading of the Bukoba Airport. Bukoba Airport Manager, Mr Julius Mlungwana told the 'Daily News on Saturday' in an interview that government ...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vh2HJf5qKiw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)