Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STEVE ANASWA AKIPIGA MSOSI WA MAANA

Steve Nyerere akigonga menyu. MWENYEKITI wa kundi la Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amenaswa akipiga msosi wa maana. Katika pitapita za hapa na pale, kamera yetu ilimnasa Steve maeneo ya Sinza katika hoteli maarufu ya Shamool akila msosi wa maana na alipohojiwa alidai kuwa ameshazoea kula kwenye hoteli zenye hadhi  kwani anaogopa uswahilini atanaswa na mapaparazi.
Steve baada ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STEVE RNB ATANGAZA NDOA, BARNABA AMTOLEA MAHARI MAMA STEVE

Stori: Musa Mateja
MSANII wa Bongo Fleva, Steven William ‘RnB’ juzikati aliweka wazi kuwa anatarajia kuoa Oktoba 11, mwaka huu huku mwanamuziki mwenzake Elias Barnaba akieleza kuwa amemtolea mahari mzazi mwenzake, mama Steve na siku si nyingi atafunga ndoa. Msanii wa Bongo Fleva, Elias Barnaba. Wakizungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti, wasanii hao kila mmoja ameonesha dhamira ya kuishi katika njia...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA GLOBAL WAKIPATA MSOSI

Wafanyakazi wa Global Pubilshers Ltd, wakipata msosi katika sherehe ya kuukaribisha mwaka 2014 ndani ya Chadibwa…

 

11 years ago

GPL

ATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO

Mwanamke huyo akiwa na boksi, huku akila wakati akikatiza mitaa ya Kariakoo (Pembeni ni wapita njia).
Akiwa kabeba boksi, juu lina  samaki wadogo, kitunguu na kipande cha chungwa.
Hapa akikatiza mitaani …

 

10 years ago

Michuzi

MSOSI TIME KABLA YA MECHI

Wachezaji wa timu ya Mbeya City, wakipata chakula kwenye moja ya mgahawa katika mji wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, wakati timu hiyo ilipokwenda kucheza mechi ya kirafiki ya dhidi ya kombanini ya timu za City na Shinyanga United za wilayani humo. Mechi hiyo ilichezwa kwenye Uwanja wa Majimoto na timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. PICHA: GODFREY KAHANGO

 

11 years ago

GPL

MSOSI WA KIGENI WAMSHINDA RAY

Stori: Hamida Hasan
MASHOKOLO mageni! Kaka mkubwa kunako kiwanda cha filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana na msosi wenye asili ya kigeni na kushindwa ‘kuusosomola’. Kaka mkubwa kunako kiwanda cha filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray Tukio hilo lililopigwa chabo na mwanahabari wetu na kuibua hamasa kwa mashuhuda lilitokea juzikati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi ashambuliwa na duma akipiga picha

Jeshi la wanahewa la Afrika Kusini limesema duma wawili wamemshambulia afisa wa jeshi aliyekuwa akijaribu kuwapiga picha.

 

10 years ago

Mwananchi

Wajumbe wapata msosi kwa kuponi

 Wajumbe wa Bunge la Katiba wanaofanyia vikao vya kamati katika ofisi za Hazina mjini hapa, wamekuwa wakipata chakula cha mchana kwa kuponi.

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE FILIKUNJOMBE AKIPIGA KAZI LUDEWA

 Mbunge wa Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akishirikiana na Wapigakura wake kushusha rola la Nyaya za umeme kwenye kijiji cha Luhana kata ya Luana wilayani Ludewa  jana kwa ajili ya mradi wa umeme  vijijini ambapo kijiji hicho pia kinatarajiwa kupata umeme  hivi karibuni. Mbunge jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akishirikiana na wapiga kura wake kushusha Transfoma jana kwa ajili ya kufungwa kwenye mradi wa umeme unaotekelezwa kwenye  kijiji cha Luana wilayani Ludewa mkoani Njombe. 

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa akipiga tizi mjini dodoma leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akifanya mazoezi katika mitaa ya mji wa Dodoma mapema leo asubuhi kabla ya kwenda kuhudhulia vikao vya Bunge maalum la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.Mh. Lowassa aliwahi kutamba sana kwenye mchezo wa mpira wa kikapu zamani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani