Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STRABAG workers resume work


STRABAG workers resume work
Daily News
WORKERS of STRABAG International GmbH, a Germany company contracted to construct the Dar es Salaam Rapid Transport (DART) project, have suspended their strike awaiting court ruling over their grievances. Construction work at the DART site is now ...

Daily News

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Social workers urged to work in collaboration with different stakeholders to promote dignity and rights of people in the community

group picha

Participants pose for group photo together with Iringa Regional Administrative Secretary (RAS), Wamoja Ayub (in veil seated)   during a two-day academic symposium held in Iringa Region through the USAID-supported Community Health and Social Welfare System Strengthening (CHSS) Program in Tanzania. It was organized by Tanzania Association of Social Workers (TASWO) together with John Snow Incorporation (JSI) Tanzania. (Photo: Friday Simbaya).

helen

Tanzanian Albinism Society (TAS) chairperson for...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapumziko ya JK yawaponza Strabag

WAFANYAKAZI wawili  na  vibarua 50 wa Kampuni ya ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, wamefukuzwa kazi kwa kile kilichodaiwa  kutokwenda kazini Januari 13, mwaka huu ambayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Strabag katika hatihati

Siku chache baada ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) kutoa tamko la kuzifuta kampuni zisizowasilisha taarifa zake za hesabu za mwaka, imebainika kuwa kampuni ya ujenzi ya kimataifa ya Strabag ni miongoni mwa zitakazopitiwa na rungu hilo.

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), wamegoma kufanya kazi wakishinikiza kuongezewa maslahi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Strabag yaonya madereva

KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), imewaonya madereva wanaotumia barabara ya Morogoro kutokukubali kutozwa ushuru wowote kwa ajili ya...

 

11 years ago

GPL

STRABAG BADO HALI TETE

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRATBAG’ wakiwa katika mgomo. HALI bado si shwari katika kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ iliyopo maeneo ya Ubungo jijini Dar, ambapo asubuhi hii Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wametanda eneo la ofisi hizo na hakuna mfanyakazi yeyote wa kawaida anayeruhusiwa kuingia ndani. Mgomo huo...

 

11 years ago

TheCitizen

‘Strabag fungueni barabara haraka’

Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli ameiagiza Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mabasi Yaendayo Kasi (Strabag) kufungua barabara zote zilizokamilika ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki wa magari wailalamikia Strabag

WAMILIKI wa magari binafsi wanaotumia Barabara ya Morogoro, Dar es Salaam wameulalamikia uongozi wa Kampuni ya Strabag inayojenga barabara ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kutokana na wafanyakazi wake kuwaomba...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Strabag yatangaza mabadiliko ya barabara

MKANDARASI Mkuu wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka (BRT), Strabag International, ametangaza mabadiliko ya matumizi katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa. Akitangaza mabadiliko hayo jana jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani