SUDANI WAJIFUNZA URATIBU WA URUTUBISHAJI WA VYAKULA TANZANIA
Na. OWM, DODOMA
Ujumbe wa maafisa waandamizi wa serikali kutoka nchini Sudani umekuja hapa nchini kujifunza masuala ya Uratibu wa Vuguvugu la Lishe na urutubishaji wa Vyakula. Ofisi ya Waziri Mkuu imekuwa ikiratibu masuala ya lishe nchini kutokana na mamlaka iliyonayo kikatiba ya kuratibu shughuli zote za Serikali pamoja na masuala mtambuka. Uratibu huo unafanywa kupitia Kamati ya kitaifa ya Lishe chini ya Uongozi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji), Dorothy...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 Aug
Serikali yaendelea kusimamia urutubishaji wa vyakula
![](https://3.bp.blogspot.com/-xcKAc6AxYqA/U_HekMauZYI/AAAAAAAAWSw/yWjgPMH4xiI/s1600/SAM_0173.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU ATAKA ELIMU ZAIDI YA URUTUBISHAJI WA VYAKULA ITOLEWE KWA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s200/images.jpg)
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema kazi kubwa zaidi inabidi ifanyike ili elimu ya kutosha iweze kufikishwa kwa mabilioni ya watu ambao milo yao ya kila siku haina virutubisho vya kutosha.
Ametoa kauli hiyo jana...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s72-c/Two.jpg)
WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s640/Two.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wm02VUwogOc/VeV0BNhEd1I/AAAAAAAAgjY/FjAUcA2hdfk/s640/One.jpg)
11 years ago
MichuziTANZANIA KUTOA MAFUNZO YA KILIMO KWA SUDANI YA KUSINI
Na Bashiri Kalum
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mhe. Eng Christopher Kajoro Chiza,( MB), amesema Tanzania ipo tayari kuendesha mafunzo ya kilimo katika vyuo vyake vya kilimo kwa wananchi wa Sudani, kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya shahada na kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na Sudani...
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Bodaboda 268 wajifunza
10 years ago
Habarileo08 Oct
Madiwani Kyela wajifunza usafi Kibaha
MADIWANI wa Halmashauri ya Kyela mkoani Mbeya wamefanya ziara ya mafunzo kwa kutembelea Halmashauri ya Mji Kibaha kujifunza uboreshaji na usafi wa mazingira.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s72-c/Two.jpg)
WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU HAPA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s640/Two.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Habarileo19 Aug
Wanawake wajifunza mbinu mpya za kilimo Kisarawe
WANAWAKE katika kijiji cha Kisanga wilayani Kisarawe wamejifunza mbinu mpya za kilimo na uzalishaji mali kupitia kampeni ya ‘GROW’ inayoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la Oxfam katika shindano lake la Mama Shujaa wa Chakula 2015.
10 years ago
MichuziIdara ya uratibu wa maafa yaridhishwa na zoezi la upokeaji waomba hifadhi kutoka burundi