Serikali yaendelea kusimamia urutubishaji wa vyakula
Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Gaudensia Simwanza(kushoto) akiwaeleza waandishi wa kuhusu udhibiti wa vyakula vilivyoongezwa virutubisho wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) leo Jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Bi. Zamaradi Kawawa.Na Frank MvungiSerikali imejipanga kufanikisha mpango wa Kitaifa wa urutubishaji vyakula na kusimamia usalama wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi kwa lengo la kulinda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSUDANI WAJIFUNZA URATIBU WA URUTUBISHAJI WA VYAKULA TANZANIA
Ujumbe wa maafisa waandamizi wa serikali kutoka nchini Sudani umekuja hapa nchini kujifunza masuala ya Uratibu wa Vuguvugu la Lishe na urutubishaji wa Vyakula. Ofisi ya Waziri Mkuu imekuwa ikiratibu masuala ya lishe nchini kutokana na mamlaka iliyonayo kikatiba ya kuratibu shughuli zote za Serikali pamoja na masuala mtambuka. Uratibu huo unafanywa kupitia Kamati ya kitaifa ya Lishe chini ya Uongozi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji), Dorothy...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU ATAKA ELIMU ZAIDI YA URUTUBISHAJI WA VYAKULA ITOLEWE KWA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tWNlZyGrJQg/VfFgm9ux5oI/AAAAAAAH3zI/dQg_uyfeQ8w/s200/images.jpg)
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema kazi kubwa zaidi inabidi ifanyike ili elimu ya kutosha iweze kufikishwa kwa mabilioni ya watu ambao milo yao ya kila siku haina virutubisho vya kutosha.
Ametoa kauli hiyo jana...
9 years ago
MichuziSerikali yaendelea kuimarisha ukaguzi wa Ndani Wizara na Taasisi za Serikali
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
‘Serikali imeshindwa kusimamia vitega uchumi’
MAKAMU wa Rais, Mohamed Gharib Bilal, amesema Tanzania ni nchi tajiri kwa kuwa na vyanzo mbalimbali vya mapato, lakini wasimamizi wakubwa ambao ni serikali wameshindwa kusimamia vyanzo hivyo. Dk. Bilal...
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
10 years ago
Habarileo05 Apr
Askofu ahimiza serikali kusimamia haki, usawa
ASKOFU wa Kanisa la Africa Inland (AIC) wa Dayosisi ya Pwani, Charles Salalah amesema serikali isiyo na dini ndiyo itakayosimamia haki na usawa katika taifa, kinyume cha hapo inatafuta matatizo.
10 years ago
Mwananchi16 Dec
NEC kusimamia uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa
10 years ago
Habarileo14 May
Serikali yajikita kusimamia mpango, dira ya taifa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imeelekeza zaidi nguvu zake katika kutekeleza na kusimamia mpango wa dira ya taifa ya maendeleo 2020 pamoja na mpango wa kukuza uchumi Mkuza kama ndiyo njia pekee ya kupiga hatua kubwa ya maendeleo na kupambana na umasikini kwa wananchi wake.