Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suluhu huenda isipatikane Ukraine

Angela Merkel asema mkutano wa amani kuhusu Ukraine waweza kushindwa kupata ufumbuzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kobe huenda wakaangamia Madagascar

Aina moja ya Kobe wanaowindwa na wawindaji haramu nchini Madagascar wako katika hatari kubwa ya kuangamia

 

11 years ago

BBCSwahili

Sisi huenda atawania Urais

Gazeti moja nchini Kuwait limesema kuwa Kiongozi wa jeshi la Misri Abdel Fattah al Sisi atawania urais katika uchaguzi ujao

 

10 years ago

BBCSwahili

Huenda 800 waliangamia baharini

Umoja wa Mataifa unasema kuwa huenda watu 800 walifariki Jumapili, pale mashua waliyokuwa wakilitumia ilipozama baharini.

 

10 years ago

Mtanzania

Rekodi ya 2010/11 huenda ikajirudia

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

LIGI Kuu ya Vodacom msimu huu imekuwa na utata mkubwa kutokana na ugumu uliogubika mbio za ubingwa.Mpaka sasa mzunguko wa pili wa ligi ukiwa unaendelea, bado ni vigumu kutabiri ni timu gani inaweza kutwaa ubingwa.Kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo kuna vita kali baina ya mabingwa watetezi Azam FC na Yanga, wote wakiwa na pointi 25 baada ya kushuka dimbani mara 13, lakini Azam FC wako juu kutokana na uwiano wake mzuri wa tofauti ya mabao ya kufunga na...

 

10 years ago

BBCSwahili

UK: Huenda watalii zaidi wakashambuliwa

Uingereza imeonya kuwa wapiganaji waislamu wanaweza kufanya mashambulio mengine dhidi ya watalii nchini Tunisia.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN: MH17 huenda ni Uhalifu wa Kivita

UN yaonya kuwa kutunguliwa kwa MH17 mashariki mwa Ukraine huenda ni uhalifu wa kivita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Suarez huenda akashiriki El Clasico.

Mshambulizi wa Uruguay na Barcelona huenda akashiriki katika mechi dhidi ya Real Madrid mwezi Oktoba.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA huenda ikaiadhibu Nigeria

FIFA huenda ikaipiga marufuku Nigeria kwa kuingilia usimamizi wa kandanda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema huenda ikashambulia IS

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani