Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye: Chagueni kiongozi mzalendo asiye na makundi

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuchagua kiongozi mzalendo asiye na makundi atakayewainua kwa kadri inavyowezekana ili wawe na maisha bora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Chagueni kiongozi mwenye hofu ya Mungu’

Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu, huku wakihakikisha wanamchagua kiongozi atakayeweza kuzisimamia vizuri rasilimali za taifa kwa manufaa ya watu wote.

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

11 years ago

Mwananchi

J.Lo: Nyota asiye na bahati ya mapenzi

Wakati wengi wakiamini kuwa pesa ndiyo kila kitu, wapo ambao pamoja na fedha nyingi walizonazo bado maisha yao hayana furaha kutokana na sababu za hapa na pale.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUNFISH: samaki asiye na mkia

WIKI iliyopita tulianza kuangalia sifa za samaki aina ya sunfish. Tukaangalia ukubwa wake na kuelezwa ni mmoja wa samaki wakubwa duniani wenye mifupa. Hata hivyo, pamoja na ukubwa huo, uti...

 

5 years ago

Raia Mwema

Kituko cha Spika wa Bunge asiye mbunge!

TUNAWEZA kubaini hatua mbalimbali za kihistoria zilizolifanya bunge letu liwe bubu na butu, nami

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wamuua mtu asiye na makao Marekani

Polisi wamempiga risasi na kumuua mtu asiye na makao mjini Los Angels Marekani

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Chagueni viongozi wenye kazi’

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amewataka wananchi kuchagua viongozi wenye kazi zao binafsi, badala ya kuchagua  viongozi wasiojishughulisha. Kinana alitoa rai hiyo juzi wakati akiwahutubia wananchi...

 

9 years ago

Habarileo

JK: Chagueni mtu anayekemea rushwa

RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza wapiga kura katika uchaguzi mkuu, kuchagua mgombea urais asiye na kigugumizi kwenye kukemea rushwa.

 

9 years ago

Habarileo

Kimbisa: Chagueni Magufuli, ni msafi

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewaomba Watanzania kumchagua Rais asiye na makundi wala makandokando yoyote ambaye ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli. Kimbisa alisema hayo juzi wakati akizindua kampeni za ubunge katika jimbo la Chilonwa Kata ya Itiso.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani