Sumaye: Chagueni kiongozi mzalendo asiye na makundi
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuchagua kiongozi mzalendo asiye na makundi atakayewainua kwa kadri inavyowezekana ili wawe na maisha bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Jul
‘Chagueni kiongozi mwenye hofu ya Mungu’
WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu, huku wakihakikisha wanamchagua kiongozi atakayeweza kuzisimamia vizuri rasilimali za taifa kwa manufaa ya watu wote.
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;
GROUP A;
Ufaransa
Romania
Albania
Switzerland
GROUP B;
Uingereza
Urusi
Wales
Slovakia
GROUP C;
Ujerumani
Ukraine
Poland
Northern Ireland
GROUP D;
Hispania
Jamhuri ya Czech
Uturuki
Croatia
GROUP E;
Belgium
Italia
Jamhuri...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
J.Lo: Nyota asiye na bahati ya mapenzi
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
SUNFISH: samaki asiye na mkia
WIKI iliyopita tulianza kuangalia sifa za samaki aina ya sunfish. Tukaangalia ukubwa wake na kuelezwa ni mmoja wa samaki wakubwa duniani wenye mifupa. Hata hivyo, pamoja na ukubwa huo, uti...
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Kituko cha Spika wa Bunge asiye mbunge!
TUNAWEZA kubaini hatua mbalimbali za kihistoria zilizolifanya bunge letu liwe bubu na butu, nami
Jenerali Ulimwengu
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Polisi wamuua mtu asiye na makao Marekani
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
‘Chagueni viongozi wenye kazi’
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amewataka wananchi kuchagua viongozi wenye kazi zao binafsi, badala ya kuchagua viongozi wasiojishughulisha. Kinana alitoa rai hiyo juzi wakati akiwahutubia wananchi...
9 years ago
Habarileo15 Oct
JK: Chagueni mtu anayekemea rushwa
RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza wapiga kura katika uchaguzi mkuu, kuchagua mgombea urais asiye na kigugumizi kwenye kukemea rushwa.
9 years ago
Habarileo21 Sep
Kimbisa: Chagueni Magufuli, ni msafi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewaomba Watanzania kumchagua Rais asiye na makundi wala makandokando yoyote ambaye ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli. Kimbisa alisema hayo juzi wakati akizindua kampeni za ubunge katika jimbo la Chilonwa Kata ya Itiso.