Sweden kufadhili umeme Ludewa
Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, haimo katika utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Umeme Vijijini awamu ya pili chini ya Ufadhili wa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-et5adn4lS9Y/XrfaMeZPySI/AAAAAAALpqY/X2JlzNVgC44MWN5_9xVjzYd7fJI30XcUACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
MKATABA WASAINIWA KUFIKISHA UMEME MWAMBAO WA ZIWA NYASA, LUDEWA
Na Amiri kilagalila,Njombe
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesainiana mkataba wenye thamani ya zaidi ya mil 920 na kampuni ya JV Mufindi Power Services Ltd wa kusabambaza umeme katika vijiji 4 vya tarafa ya mwambao wa ziwa Nyasa wilayani Ludewa mkoani Njombe ambavyo vimekuwa na changamoto hiyo kabla na baada ya uhuru .
Akizungumza mara baada ya kupokea mkataba huo,mkuu wa wilaya ya Ludewa Andrew Tsere amesema serikali imedhamilia kufikisha nishati ya umeme katika vijiji vyote wilayani humo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-et5adn4lS9Y/XrfaMeZPySI/AAAAAAALpqY/X2JlzNVgC44MWN5_9xVjzYd7fJI30XcUACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Ludewa kwa zidi kunoga,mkataba wa mamilioni wasainiwa kufikisha umeme mwambao wa ziwa Nyasa
Na Amiri kilagalila,Njombe
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesainiana mkataba wenye thamani ya zaidi ya mil 920 na kampuni ya JV Mufindi Power Services Ltd wa kusabambaza umeme katika vijiji 4 vya tarafa ya mwambao wa ziwa Nyasa wilayani Ludewa mkoani Njombe ambavyo vimekuwa na changamoto hiyo kabla na baada ya uhuru .
Akizungumza mara baada ya kupokea mkataba huo,mkuu wa wilaya ya Ludewa Andrew Tsere amesema serikali imedhamilia kufikisha nishati ya umeme katika vijiji vyote wilayani...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vojmaj5dsXY/VC7OiguvWtI/AAAAAAAGnoE/nKXntVsFo3U/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN, AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO SWEDEN NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vojmaj5dsXY/VC7OiguvWtI/AAAAAAAGnoE/nKXntVsFo3U/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ToC96FpSTQY/VC7OjLTenPI/AAAAAAAGnoI/dc9rD2V_H2E/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GmRSNyyE_sA/VC7Pn5vLamI/AAAAAAAGno0/dSLLhZpe15k/s1600/Reception3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iuLfEGPOfC4/VC7PNYdYHqI/AAAAAAAGnos/PRe1mDEgRek/s1600/Humor.jpg)
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Kilimo kufadhili soka Zimbabwe
Mwenyekiti wa shirikisho la soka nchini Zimbabwe, Cuthbert Dube ameelezea kuwa yuko tayari kuanza mpango wa kufanya kilimo ili kufadhili soka nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Ulaya kufadhili kambi za wahamiaji Uturuki
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, yuko mjini Brussels kwa mazungumzo muhimu na viongozi wa muungano wa bara Ulaya, kuhusu uhamiaji.
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
IOC kufadhili michezo kwa wakimbizi
Shirikisho la michezo ya olimpiki IOC limetenga hazina ya dola milioni mbili kufadhili miradi mbali mbali na michezo kwa wakimbizi
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Marekani kufadhili kikosi dhidi ya B.Haram
Marekani imeahidi kuwa itafadhili kikosi cha jeshi kilichoundwa na mataifa 5 ya Magharibi mwa Afrika kukabiliana na Boko Haram
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jun
China kufadhili wanafunzi elimu ya ufundi
NA NTAMBI BUNYAZU
Mjumbe wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China, Dk. Annie Wu, amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Kitanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini humo.
Alisema lengo la kufanya hivyo ni kukuza na kudumisha uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na China.
Dk. Wu amekuja nchini kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete, ambapo amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome.
Katika mazungumzo hayo alimwambia...
Mjumbe wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China, Dk. Annie Wu, amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Kitanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini humo.
Alisema lengo la kufanya hivyo ni kukuza na kudumisha uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na China.
Dk. Wu amekuja nchini kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete, ambapo amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome.
Katika mazungumzo hayo alimwambia...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
MIGA kufadhili miradi mikubwa Tanzania
KITENGO cha Taasisi za Benki ya Dunia kinachodhamini uwekezaji (MIGA) imeanza ziara ya kufadhili miradi mikubwa hapa nchini. Ziara hiyo ya siku mbili imeanza kwa kukutana na wizara za serikali,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania