Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilimo kufadhili soka Zimbabwe

Mwenyekiti wa shirikisho la soka nchini Zimbabwe, Cuthbert Dube ameelezea kuwa yuko tayari kuanza mpango wa kufanya kilimo ili kufadhili soka nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sweden kufadhili umeme Ludewa

Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, haimo katika utekelezaji wa Mradi Kabambe wa Umeme Vijijini awamu ya pili chini ya Ufadhili wa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA).

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke jela kwa kufadhili Isis

Mwanamke mmoja nchini Uingereza aliyeshitakiwa kwa kumfadhili mumewe aliyejiunga na vita nchini Syria, amefungwa jela miaka 2

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

China kufadhili wanafunzi elimu ya ufundi

NA NTAMBI BUNYAZU
Mjumbe wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China, Dk. Annie Wu, amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Kitanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini humo.
Alisema lengo la kufanya hivyo ni kukuza na kudumisha uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na China.
Dk. Wu amekuja nchini kwa mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete, ambapo amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome.
Katika mazungumzo hayo alimwambia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ulaya kufadhili kambi za wahamiaji Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, yuko mjini Brussels kwa mazungumzo muhimu na viongozi wa muungano wa bara Ulaya, kuhusu uhamiaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

IOC kufadhili michezo kwa wakimbizi

Shirikisho la michezo ya olimpiki IOC limetenga hazina ya dola milioni mbili kufadhili miradi mbali mbali na michezo kwa wakimbizi

 

10 years ago

Tanzania Daima

SBL kufadhili wanavyuo kwa 100%

KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), kupitia mradi wa EABL Foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikiwemo karo, malazi na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

MIGA kufadhili miradi mikubwa Tanzania

KITENGO cha Taasisi za Benki ya Dunia kinachodhamini uwekezaji (MIGA) imeanza ziara ya kufadhili miradi mikubwa hapa nchini. Ziara hiyo ya siku mbili imeanza kwa kukutana na wizara za serikali,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kufadhili kikosi dhidi ya B.Haram

Marekani imeahidi kuwa itafadhili kikosi cha jeshi kilichoundwa na mataifa 5 ya Magharibi mwa Afrika kukabiliana na Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni za mbao zadaiwa kufadhili vita CAR

Kundi la kutetea haki la Global Witness limayalaumu baadhi ya makumpuni ya mbao barani Ulaya kwa kusaidia kufadhili vita nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, kupitia kusaidia kusaini mikataba ya fedha nyingi na makundi ya wapiganaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani