SWITZERLAND YAIGALAGAZA ECUADOR
![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm9s6Zheg1GVg3kfYuKYXz*K5**2E*4KBLvVCyKT7PoGtOISvIvB84R6XCX-6O53wM-EcqYjmt3lUSIlxDdaLVGy/wc.jpg)
Haris Seferovic (kulia akiifungia) Switzerland bao la pili na la ushindi dhidi ya Ecuador. Mchezaji wa Ecuador, Enner Valencia akiifunga bao timu yake katika dakika ya 22.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
England yabanwa na Ecuador 2 - 2
Katika mechi za kirafiki England ilitoka sare ya 2 - 2, dhidi ya Ecuador katika mechi iliyochezwa huko Miami.
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Ecuador yailaza Honduras 2-1
Ecuador ilitoka nyuma na kuishinda Honduras 2-1 katika mechi ya kundi E
10 years ago
VijimamboTANZANIA NA ECUADOR ZAANZISHA UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Baba Mtakatifu Francis awasili Ecuador
Baba mtakatifu Francis amwasilini nchini Ecuador akiweka kituo cha kwanza katika ziara yake itakayodumu kwa siku saba.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-51n_MF1RCxs/VYEYkr8oQXI/AAAAAAAHgS8/hKhdWZoVl3s/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
TANZANIA NA ECUADOR ZA ANZISHA UHUSIANO WA KIDPLOMASIA
Na Mwandishi Maalum, New York Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Ecuador zimekubaliana kuanzisha uhusiano wa kudiplomasia katika ngazi ya Mabalozi . Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, na Mwakilishi wa Kudumu wa Ecuador katika Umoja wa Mataifa Balozi Xavier Mendoza ndio waliotia sahihi hati za kuanzishwa kwa uhusiano huo kwa niaba ya serikali zao katika hafla fupi iliyofanyika siku ya Jumanne. Ecuador inakuwa ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k55MAPEnUd4/XpR4BCfFCmI/AAAAAAALm2s/5c3AXl3CjSolO2XooFt7tLQ-u_6hN7ODACLcBGAsYHQ/s72-c/76514_ECU200412ECUADORRTR_1586763597160.jpeg)
POLISI ECUADOR YAKUSANYA MIILI 800 MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-k55MAPEnUd4/XpR4BCfFCmI/AAAAAAALm2s/5c3AXl3CjSolO2XooFt7tLQ-u_6hN7ODACLcBGAsYHQ/s640/76514_ECU200412ECUADORRTR_1586763597160.jpeg)
ECUADOR imesema kuwa polisi wameondoa karibu miili 800 katika wiki za hivi karibuni kutoka majumbani huko Guayaquil ambako ni kitovu cha mlipuko wa virusi vya Corona (Covid -19) na hiyo ni baada ya ugonjwa huo kuzidi huduma za dharura, hospitali na huduma za mazishi, Shirika la utangazaji la Al-jazeera limeripoti.
Kiongozi wa timu iliyoundwa na serikali ya nchi ili kusaidia katika mapambano dhidi ya Covid -19 yenye polisi na wanajeshi, Jorge Wated amesema kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fdf8bs7s6l0/XrRbo0NbN4I/AAAAAAALpbo/XsUFzwPRF4kzB5QlTLd0sgDuyDcn327GwCLcBGAsYHQ/s72-c/28065876-0-image-a-16_1588759550692.jpg)
MIILI YA WAATHIRIKA WA CORONA YAZIDI KUTAPAKAA MITAANI ECUADOR
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NCHINI Ecuador miili ya waathirika wa virusi vya Corona imeendelea kuzagaa mitaani huku tahadhari zaidi ikitolewa dhidi kuenea kwa virusi hivyo.
Baadhi ya wachunguzi wameonekana katika moja ya mitaa wakichunguza maiti ya mwanaume wa miaka 65 aliyedaiwa kuambukizwa COVID-19 katika mji mkuu wa nchi hiyo Quito siku ya Jumanne na baadaye wafanyakazi wa wazishi walifika na kumweka kwenye jeneza na kumsafirisha, Dailymail imeripoti.
Ecuador ina zaidi ya kesi...
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Ufaransa 3-0 Switzerland
Switzerland inakabiliana na Ufaransa kartika mechi ambayo lazima ishinde ilikuimarisha nafasi yake ya kusonga mbele
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Serikali ya Ecuador inavyopambana kuzika waliofariki
Miili imetapakaa Guayaquil nchini Ecuador, serikali yazidiwa na idadi kubwa ya vifo, mji huo umeathirika zaidi Amerika ya Kusini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania