TAARIFA YA KIFO
UKOO WA MWEMA NA NKYA UNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MAMA/DADA YAO MPENDWA BI SOPHIA RAJAB NKYA KILICHOTOKEA JANA 3/10/2014 SAA 2.45 USIKU KATIKA HOSPITALI YA KCMC MOSHI.MAZISHI YATAFANYIKA LEO TAREHE 4/10/2014 SAA KUMI ALASIRI KATIKA MAKABURI YA MOSHI MJINI.HABARI ZIWAFIKIE NDUGU,JAMAA NA MARAFIKI WALIOPO NDANI NA NJE YA NCHI.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
TAARIFA YA KIFO KUTOKA YANGA SC
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Christopher-Mtikila.jpg)
TAARIFA YA POLISI KUHUSU KIFO CHA MCHUNGAJI MTIKILA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I-Pxp5bMEPM/XrQRejvOVXI/AAAAAAALpaQ/LI7OY7geLiYRrM3SRKKXhBA1Swx0asxewCLcBGAsYHQ/s72-c/51127f94-59cf-434e-81bb-172758dfa411.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rTV1PPu3cHM/U4rm9MIdYKI/AAAAAAAFm4U/DGvUydPD5TM/s72-c/IMG-20140601-WA0000.jpg)
TAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rTV1PPu3cHM/U4rm9MIdYKI/AAAAAAAFm4U/DGvUydPD5TM/s1600/IMG-20140601-WA0000.jpg)
MDAU WETU BEATRICE SINGANO WA VAIRTEL AMEONDOKEWA/AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI MPENDWA MZEE MOURICE NOEL SINGANO,
MZEE WETU M.N. SINGANO ALIFARIKI JANA TAREHE 31/05/2014. NCHINI INDIA - CHENNAI , MIPANGO YA MZISHI INAFANYIKA NYUMBANI KWA MTOTO WAKE MIKOCHENI B, DAR ES SALAAM.
KUFUATIA MSIBA HUO KUTAKUWA NA MISA MAALUM YA SIKU YA ALHAMISI KANISA LA MT. MARTHA MIKOCHENI DAR ES SALAAM.
MAZISHI YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA IJUMAA TAREHE 6/6/2014...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE SMALL YUPO HAI, TAARIFA ZA KIFO CHAKE NI UZUSHI
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Kifo Cha Msanii AK47 Taarifa Mpya Za Kushtusha Zatolewa
![](http://api.ning.com/files/nBD8FQWarq9jNraPBtL8Hy5Sxmz4CXRR0Yj5Wr3xeIeQZ5y6aq*PA1DgERk-6nj-2rTmnUnfFrkUbqJiu-F6JiDvIubvijMu/ak47.jpg)
Ujumbe ulikuwa ukitaka Maggie amuonye mume wake AK47 aache kumfuatilia girlfriend wake anayeishi nchini Uganda anayejulikana kama Vivian Bahati.Taarifa za Redpepper Uganda, Polisi wanaendelea kuchunguza taarifa hizo mpya, kuna Mganda ambae anaishi nchi za Scandinavia ambae anadhaniwa alikodi kikundi cha watu ambao walisababisha kifo cha AK47 kutokana na mwanamke huyo.Polis walimpigia Maggie mke wa marehemu AK47 afike katika kituo cha Polisi cha Kabalagala kwa ajili ya kupata upande...
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Mama Maria Nyerere ni mzima wa afya, taarifa za kifo zipuuzwe
Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu ni kwamba taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii (Sio Mo dewji blog) zinazomuhusisha Mama Maria Nyerere. ‘SI ZA KWELI NA ZIPUUZWE’.
Awali habari mbalimbali juu ya kuenezwa kwa uvumi wa kifo kwa Mama Maria zilianza kusambaa hata kuzifikia chumba cha Habari cha Mo dewji, ambapo tumejiridhisha na kwa mujibu wa watu waliongea na familia ya Mama Nyerere, akiwemo Mtoto wake Madaraka Nyerere, alibainisha kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s72-c/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
TANZIA: Taarifa ya kifo cha mama Betisheba Ketangenyi, Maryland, Marekani
![Bettisheba Pole Ketang'enyi Bettisheba Pole Ketang'enyi](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s640/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
Mipango ya kusafiri mwili wa marehemu inaendelea kwa mdogo wa marehemu Daudi Musika wa 3819 Gateway terrace Burtonsville MD 20866.
Unaweza kuwasiliana na:
Frederick...
11 years ago
MichuziTAARIFA YA KIFO CHA BALOZI WA MALAWI NCHINI TANZANIA,HAYATI FLOSSIE GOMILE
Balozi Flossie Chidyaonga alizaliwa tarehe 16 Juni, 1960 huko Blantyre nchini Malawi. Balozi Chidyaonga aliitumikia Serikali ya Malawi katika nyadhifa mbalimbali. Kati ya mwaka 2006 hadi 2010 alikuwa Naibu Balozi wa Malawi...