Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tajiri wa makontena abainika

MIONGONI mwa wafanyabiashara waliohifadhi makontena yenye utata katika malipo ya kodi kwenye Band

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE

Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi  kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri  wakubwa na  maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana.  Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na   maskini akiwepo  na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini  na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa Ebola abainika Hispania

Uchunguzi unaendelea nchini Hispania ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Ebola baada ya mgonjwa wa kwanza kubainika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Aliyeleta hofu abainika hana Ebola

KIJANA Ally Selemeni (30), mkazi wa Mikindani, mkoani Mtwara aliyeleta hofu kwa wananchi waliokuwepo katika maeneo ya hospitali ya Rufaa ya Ligula kuwa ana dalili za ugonjwa wa Ebola, anaendelea...

 

9 years ago

StarTV

Mchezaji Karim Benzema abainika na kesi ya kujibu.  

 

Jaji anayesikiliza kesi inayomuhusu mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema anayekabiliwa na tuhuma za kuingilia mawasiliano binafsi ya kimapezi ya mchezaji mwenzake Mathieu Valbuena amesema mchezaji huyo ana kesi ya kujibu kulingana na ushahidi uliyotolewa.

Jaji Nathalie Boutard amebainisha baada ya uchunguzi kufanyika na ushahidi wa vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani Benzema ana kesi ya kujibu.

Amesema Benzema hana sababu ya kukutana na Valbuena kwa lengo la kulimzaliza suala...

 

9 years ago

Mwananchi

Ufisadi wa makontena

Kama ulikuwa unadhani kupotea kwa makontena 349 bila kulipiwa ushuru ni ukwepaji kodi uliopitiliza unajidanganya, jana Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alifanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini baada ya kupewa taarifa kwamba kuna makontena 2,431 yametolewa bila kulipiwa ushuru.

 

9 years ago

Mtanzania

Sh bilioni 65.7 za makontena gizani

Pg 1*Ni za ufisadi wa Bil. 80/- ulioibuliwa na Majaliwa

 Na Fredy Azzah, Dar es Salaam

 WAKATI vita dhidi ya wakwepa kodi katika Bandari ya Dar es Salaam ikipamba moto, umeibuka utata wa Sh bilioni 80 ambazo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alisema ni kodi ya makontena 329 kutoka kwa wafanyabiashara 58, walioyatoa bandarini bila kuyalipia kodi.

Akitoa ufafanuzi wa ukusanyaji wa fedha hizo, Desemba 12, Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango, aliwaeleza waandishi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Makontena tisa yakamatwa Dar

Mamlaka ya Bandari Tanzania (PTA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wamekamata makontena tisa yanayodhaniwa kukwepa kulipa kodi.

 

9 years ago

Mtanzania

Watuhumiwa wa makontena 40 wawekwa rumande

4c36Suleiman-KovaNA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewakamata watumishi 40 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari (TPA) wanaotuhumiwa kula njama za kuikosesha Serikali mapato.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini, Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema jeshi hilo linawashikilia watumishi 26 wa TRA na watatu wa Bandari kavu (ICD) ya Azam kwa kuhusika na upotevu wa makontena 329.

Aliwataja watumishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani