Tajiri wa makontena abainika
MIONGONI mwa wafanyabiashara waliohifadhi makontena yenye utata katika malipo ya kodi kwenye Band
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi03 Sep
HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mgonjwa Ebola abainika Hispania
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Aliyeleta hofu abainika hana Ebola
KIJANA Ally Selemeni (30), mkazi wa Mikindani, mkoani Mtwara aliyeleta hofu kwa wananchi waliokuwepo katika maeneo ya hospitali ya Rufaa ya Ligula kuwa ana dalili za ugonjwa wa Ebola, anaendelea...
9 years ago
StarTV05 Jan
Mchezaji Karim Benzema abainika na kesi ya kujibu. Â
Jaji anayesikiliza kesi inayomuhusu mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema anayekabiliwa na tuhuma za kuingilia mawasiliano binafsi ya kimapezi ya mchezaji mwenzake Mathieu Valbuena amesema mchezaji huyo ana kesi ya kujibu kulingana na ushahidi uliyotolewa.
Jaji Nathalie Boutard amebainisha baada ya uchunguzi kufanyika na ushahidi wa vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani Benzema ana kesi ya kujibu.
Amesema Benzema hana sababu ya kukutana na Valbuena kwa lengo la kulimzaliza suala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TAAuPhgyfxc/Xo3qt43_XpI/AAAAAAALmkw/bjIwuElddRYjcPxbSLKIV0ujD6WCT62mQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-7.jpg)
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Ufisadi wa makontena
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Sh bilioni 65.7 za makontena gizani
*Ni za ufisadi wa Bil. 80/- ulioibuliwa na Majaliwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI vita dhidi ya wakwepa kodi katika Bandari ya Dar es Salaam ikipamba moto, umeibuka utata wa Sh bilioni 80 ambazo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alisema ni kodi ya makontena 329 kutoka kwa wafanyabiashara 58, walioyatoa bandarini bila kuyalipia kodi.
Akitoa ufafanuzi wa ukusanyaji wa fedha hizo, Desemba 12, Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango, aliwaeleza waandishi wa...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Makontena tisa yakamatwa Dar
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Watuhumiwa wa makontena 40 wawekwa rumande
NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewakamata watumishi 40 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari (TPA) wanaotuhumiwa kula njama za kuikosesha Serikali mapato.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini, Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema jeshi hilo linawashikilia watumishi 26 wa TRA na watatu wa Bandari kavu (ICD) ya Azam kwa kuhusika na upotevu wa makontena 329.
Aliwataja watumishi...