Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TALAKA YA OBAMA YAZUIWA IKULU

Obama akiwa 'busy' na Waziri Mkuu wa Denmark, Helle Thorning-Schmidt wakati wa mazishi ya Mandela Afrika Kusini. WASHINGTON, Marekani
NDOA ya Rais Barak Obama na mkewe Michelle haitaweza kuvunjika kwa sasa kwa vile mke huyo mrembo atatakiwa kuendelea kuishi katika Ikulu ya White House hadi mumewe atakapomaliza muhula wake wa pili wa uongozi mwaka 2016.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AY AANIKA SIRI IKULU YA OBAMA

Stori: Mwandishi Wetu MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ ameanika siri za Ikulu ya Rais Baraka Obama wa Marekani, baada ya kuitembelea wakati alipokwenda kwa ajili ya shoo akiwa na wenzake tisa kutoka Afrika. Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ akipozi. “Nilipokwenda sikumkuta Rais Obama, alikuwa Minnesota kwa mambo yake, lakini tulipokelewa na...

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yakanusha JK kuhojiwa na Obama

MKURUGENZI wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu amekanusha madai yaliyotangazwa hivi karibuni kwamba, Rais Jakaya Kikwete amehojiwa na Rais wa Marekani, Barack Obama, kuhusu fedha za kampuni ya kufua umeme ya IPTL.

 

10 years ago

Mtanzania

Sauti Sol wapiga shoo Ikulu ya Obama

SAUTI-SOLNEW YORK, MAREKANI

KUNDI la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol, wamefanikiwa kuingia Ikulu ya nchini Marekani na kufanya onyesho la muziki wao kwa Rais Barack Obama.

Wasanii hao walifika Ikulu hiyo kwa mwaliko wa rais huyo, baada ya mazungumzo yao walisimama na kuimba, jambo ambalo lilimnyanyua Obama, akashirikiana na wasanii hao kucheza wimbo waliokuwa wakiuimba.

Wasanii hao wanaweka historia yao ya kuingia ikulu za marais mbalimbali ambapo awali walishaingia Ikulu ya Kenya, walikutana...

 

11 years ago

GPL

Yanga yazuiwa kwenda Uturuki

Kikosi cha wachezaji wa Yanga. Wilbert Molandi na Martha Mboma
IMEFAHAMIKA kuwa, uwepo wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi umezuia kambi ya nje ya nchi ambayo Yanga ilipanga kuiweka, ikiwemo kwenda Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Kombe hilo la Mapinduzi linatarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari 12, mwakani likishirikisha timu za Bara na Zanzibar.
Chanzo cha habari kutoka ndani ya Kamati ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mikutano ya LHRC yazuiwa Kilimanjaro

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imesimamisha kwa muda usiojulikana mikutano iliyokuwa ikifanywa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu rasimu ya Pili ya Katiba...

 

11 years ago

GPL

MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO

Meli ya Carnival Magic ya Marekani (Picha na Maktaba). Meli ya Carnival Magic ya Marekani imezuiwa kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel ikihofiwa kuwa na mgonjwa wa Ebola. Meli hiyo iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U na Arsenal zawika,Chelsea yazuiwa

Mkufunzi Gus Poyet aliihangaisha timu ya Chelsea na kuwajaribu viongozi hao wa Ligi kupitia mchezo mzuru wa timu yake Sunderland.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubakaji :Makala ya BBC yazuiwa India

Makala ya BBC iliyoandaliwa na Leslee Udwin imezuiwa kuruka nchini India, ikihofiwa kuleta uchochezi nchini India

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yazuiwa kutumia Uwanja wa Taifa

Serikali imekataa ombi la Chadema la kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya kuzindua kampeni zake za uchaguzi, ikisema mazingira yaliyopo sasa hayaruhusu eneo hilo kutumika kwa shughuli za kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani