Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamasha la filam laanza Senegal

Wasanii wa tasnia ya filamu kutoka nchi mbalimbali duniani wameanza kuwasili mji Dakar mkuu wa Senegal.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Tamasha la “Mtu kwao” laanza kurindima jijini Arusha

tamasha  Mmoja wa wawadau wa utamaduni akiwa anawaonyesha malagwanani jinsi ya kutumia mishale.  wanafunzi wakiwa wanapewa mafunzo ya kutengeneza magari ya mabati  machifu wakibadilishana uzoefu na ukabila wao  malagwanani wa kimasai wakiwa katika picha ya pamoja  chifu wa  kinadi  ambayo ipo katika wilaya ya Itilima  mkoani Simuyu  Wenceslaus Clement  akiwa anabadilishana mawazo na malagwanani wa kimasai  Mkutunzi wa kabila la wabarabaigi akiwa anawaonyesha malegwanani wa kimasai...

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la kitamaduni la "Mtu kwao" laanza leo jijini Arusha

 Chifu wa  kinadi  ambayo ipo katika wilaya ya Itilima  mkoani Simuyu  Wenceslaus Clement  akiwa anabadilishana mawazo na malagwanani wa kimasai katika siku ya kwanza ya tamasha la "Mtu kwao" laanza katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abein jijini Arusha leo Mkufunzi wa kabila la Wabarabaigi akiwaonyesha malegwanani wa Kimasai mishale ya sumu ambapo alisema kuwa mishale hiyo ina sumu kali ambayo imetengenezwa kutoka dawa za miti aina saba tofauti, na kwamba  ikikupiga tu hauwezi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la AAF laanza kupokea maombi ya filamu zitakazoanza kushiriki mwaka huu

CALL FOR SUBMISSIONS - AAFF 2015

Thank you for your interest in the Arusha African Film Festival.

The festival is open to everyone with particular focus on the theme of AAFF: “Understanding Africa through Film.”

Filmmakers with stories and images that promote the understanding of Africa through film are most welcome to submit their films for the festival.

The categories are feature films, shorts and documentaries. All genres are welcome.

Films submitted should be of good production quality and of topical content that...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUELEKEA KUMBUKUMBU YA SIKU YA MTOTO NJITI DUNIANI LAANZA LEO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUBU JIJINI DAR ES SALAAM

 Sehem ya wadau mbali mbali na wanchi walio fika katika  tamasha la kuelekea kumbukumbu ya siku ya mtoto njiti Duniani leo katika viwanja vya Leaders Clubu jijini Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe Paul Makonda,  akizungumza na wananchi juu ya Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbali mbali ili kuhakikisha watoto njiti wanapata huduma stahiki katika mazingira rafiki ili waweze kuishi kama watoto wengine katika tamasha la kuelekea kumbukumbu ya siku ya mtoto njiti Duniani...

 

9 years ago

Michuzi

DSTV YAZINDUA CHANELI MPYA MUZIKI ,FILAM PAMOJA NA MAHOJIANO

 Meneja wa Mahusiano wa MultChoice Tanzania (DSTV),Barbara Kambogi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi wa chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo inayoanza leo kwa kuonyesha muziki,filam pamoja na mahojiano iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa MultChoice Tanzania,Furaha  Samari, na kulia ni Mwakakilishi wa MNET Afrika Mashariki,Lisa Venter.Mwakakilishi wa MNET Afrika Mashariki,Lisa Venter akizungumza na  waandishi (hawapo pichani) juu...

 

10 years ago

Habarileo

Joto laanza kupanda CCM

Viongozi wa Kamati Kuu ya CCM.Joto limepanda mjini hapa, ambapo mchujo wa kumpata mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), unaanza rasmi leo, pale Kamati Kuu (CC) itakapochuja majina ya watangaza nia 38 waliochukua na kurejesha fomu na kubakiza watano.

 

11 years ago

Mwananchi

Jahazi la TZ laanza kuzama Madola

Jahazi la Tanzania limeanza kuzama kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya timu ya Judo, kuogelea na mpira wa meza kuondoshwa kwenye michezo hiyo inayoendelea nchini Scotland.

 

10 years ago

Habarileo

Baraza la Wawakilishi laanza kikao

BARAZA la Wawakilishi limeanza kikao chake jana ambako pamoja na mambo mengine litajadili miswada miwili ya sheria, huku Muswada wa Maadili ya Viongozi ukirudishwa tena kwa kamati kwa ajili ya majadiliano zaidi na kupokea maoni mbalimbali ya wadau kwa maboresho mapya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani