Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania: Karate Awards Five (5) Senior Instructors

Tanzania Karate –Do Federation (TKF) secretary general, sensei Phillip Chikoko (right), based in Dar es Salaam, Tanzania and his student Faraja Joseph demonstrate Karate techniques during Mwalimu Julius Nyerere memorial show at National Indoor Stadium in Dar es Salaam on Tuesday. (Photo by Frank Kimaro)


Top from left Sensei Dudley Mawalla founder of Shotokan Karate Tanzania, middle, Sensei Magoma Nyamuko Sarya, right, Sensei Kheri Kivuli, all three are based in Dar es Salaam,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MWEYEKITI WA CHUO CHA KARATE NCHINI TANZANIA AOMBA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA MCHEZO WA KARATE

 Mwenyekiti wa Chuo cha Karate nchini Tanzania,Willy Ringo ameyataka mashirika na makampuni nchini kuunga mkono mchezo wa Karate ili kufika mbali zaidi ulimweguni.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Rwezaula ameitaka Serikali pamoja na Makampuni yeyote  kuusaidia mchezo huo wa Karate,pia ameitaka Serikali kuacha kudhamini michezo mingine kama mpira wa miguu na mashindano ya urembo.
Kwa upande wake, Bingwa wa Dunia katika mchezo wa Karate, Rutashobya Ringo amewataka Watanzania kuwa na nidhamu...

 

10 years ago

Michuzi

Ma-sensei watano waliotunukiwa ngazi za juu za karate watoa shukurani kwa Shirikisho la Karate Tanzania

 Walimu  (ma-Sensei) watano toka Tanzania, yaani Sensei Dudley Mawalla, Sensei Daud Magoma, Sensei Kheri Kivuli, Sensei Edgar Kaliboti na Sensei Rumadha Fundi, wanatoa shukrani  nyingi sana kwa  kupewa dhamana kubwa ya heshima na vyeo vya ngazi za juu toka shirikisho la Karate Tanzania (Tanzania Karate-Do Federation).  Chini ya uongozi wa mwenyekiti Sensei Geofrey Kalonga na katibu mkuu wake Sensei Phillip Chikoko, wana-sema ma-Sensei hao katika waraka ulioandikwa na Sensei Rumadha...

 

10 years ago

Vijimambo

Tanzania Karate-Do Federation (TKF).

Kwa niaba ya walimu ma-(Sensei) watano toka Tanzania, Sensei Dudley Mawalla, Sensei Daud Magoma, Sensei Kheri Kivuli, Sensei Edgar Kaliboti na Sensei Rumadha Fundi, tunatowa
shukrani za kupewa dhamana kubwa ya heshima na vyeo vya ngazi za juu toka shirikisho la Karate Tanzania (Tanzania Karate-Do Federation).
Chini ya uongozi wa mwenyekiti Sensei Geofrey Kalonga na katibu mkuu wake Sensei Phillip Chikoko, hatuna budi kuitikia wito wa kuchangia maendeleo ya sanaa ya Karate inayohitaji nidhamu...

 

5 years ago

Michuzi

MCHEZO WA KARATE,TANZANIA YAPATA MWALIKO










…………………………………………………………………..

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imepata Nafasi ya kwenda kushiriki katika mashindano ya Dunia ya Karate Japani mwezi October Mwaka huu.

Mashindano hayo ya Karate ya Dunia huwa yanafanyika kila baada ya Miaka 3,na kwa mwaka huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.

Jerome Muhagama ambaye Pia ni Mkufunzi mkuu wa Karate Tanzania amezungumzia Juu ya nafasi hiyo iliyopata nchi ya...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya karate.

Na Rose Masaka-MAELEZO Umoja wa Wapiganaji wa Sanaa ya Mapigano Duniani (UPAM) unaandaa shindano la kimataifa la wapiganaji ambalo linatarajiwa kufanyika nchini kati ya Mwezi Desemba mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao kutokana na ruhusa itakayotolewa na Serikali kwa mamlaka zinazohusika. Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa UPAM Prof. Maurizi Mardina alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Profesa Mardina amesema kuwa mchezo wa kupigana ni mchezo mzuri ambao unahitaji...

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA DUNIA YA JUDO, KARATE KUFANYIKA TANZANIA

Mwenyekiti msaidizi wa UPAM Tanzania, Golandu Yusuph akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Rais wa UPAM Italia,Maurizio Martina, akipunga bendera ya Tanzania.  Kushoto ni Golandu Yusuph.…

 

10 years ago

TheCitizen

Tanzania among worst places for senior citizens

>Life expectancy may be rising globally but Tanzania is one of the countries that have yet to find better ways to take care of the rising number of senior citizens in the world, The Citizen on Saturday has established.

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA KARATE TANZANIA YAJIANDAA KWENDA ALBANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA

 Rais wa Shirikisho la Dunia la mchezo wa Karate (UPAM), Profesa  Martina Maurizio (kulia), akiwaelekeza jambo wachezaji wa mchezo huo walioko kambini Dar es Salaam jana. Wachezaji sita wa timu hiyo wanatarajia kuondoka Septemba 28 mwaka huu kwenda nchini Albania kushiriki mashindano ya dunia ya mchezo huo. Wachezaji hao sita wakiwa wameshika bendera ya timu hiyo. Kulia ni  Rais wa Shirikisho la Dunia la mchezo wa Karate (UPAM), Profesa  Martina Maurizio.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

10 years ago

The Guardian

Tanzania energy scandal ousts senior politicians


The Guardian
Tanzania energy scandal ousts senior politicians
The Guardian
Anti-malaria drugs at a medical dispensary in Chekereni village, Tanzania. Hospitals and health centres have reportedly run out of medicines after donors withheld aid. Photograph: Alamy. Guardian Global development is supported by: Bill and Melinda Gates ...
Donors say assessing Tanzania anti-graft effort before releasing aidReuters Africa
Tanzania suspends senior energy official over graft claimsStabroek News
We Say 'No'...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani