MCHEZO WA KARATE,TANZANIA YAPATA MWALIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-tuxRmLlQRGM/XnoOKVYS2xI/AAAAAAALk78/ww6ZS__lsookNFlsEaRz20NxlqfGq5KHwCLcBGAsYHQ/s72-c/Jerome-MhagamaKUSHOTO.jpg)
…………………………………………………………………..
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imepata Nafasi ya kwenda kushiriki katika mashindano ya Dunia ya Karate Japani mwezi October Mwaka huu.
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia huwa yanafanyika kila baada ya Miaka 3,na kwa mwaka huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.
Jerome Muhagama ambaye Pia ni Mkufunzi mkuu wa Karate Tanzania amezungumzia Juu ya nafasi hiyo iliyopata nchi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-goH0lq5j2Fc/VLjwSjWFF_I/AAAAAAABCq4/hEJNk-vuecI/s72-c/DSC_0025.jpg)
MWEYEKITI WA CHUO CHA KARATE NCHINI TANZANIA AOMBA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA MCHEZO WA KARATE
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Rwezaula ameitaka Serikali pamoja na Makampuni yeyote kuusaidia mchezo huo wa Karate,pia ameitaka Serikali kuacha kudhamini michezo mingine kama mpira wa miguu na mashindano ya urembo.
Kwa upande wake, Bingwa wa Dunia katika mchezo wa Karate, Rutashobya Ringo amewataka Watanzania kuwa na nidhamu...
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB1ATpDIgso/VFaVZokEH5I/AAAAAAAGvGw/Hahl94QhUW0/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Ma-sensei watano waliotunukiwa ngazi za juu za karate watoa shukurani kwa Shirikisho la Karate Tanzania
11 years ago
MichuziKAMANDA BOAZ WA KILIMANJARO ATOA ZAWADI KWA TIMU YA POLISI-KILIMANJARO YA MCHEZO WA KARATE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-raYIBPY7tJs/VFZN3YqytvI/AAAAAAADMDs/SRJ5GQ0v8YA/s72-c/Geki%2BSai%2Bdai%2BNi.jpg)
Tanzania Karate-Do Federation (TKF).
![](http://3.bp.blogspot.com/-raYIBPY7tJs/VFZN3YqytvI/AAAAAAADMDs/SRJ5GQ0v8YA/s1600/Geki%2BSai%2Bdai%2BNi.jpg)
shukrani za kupewa dhamana kubwa ya heshima na vyeo vya ngazi za juu toka shirikisho la Karate Tanzania (Tanzania Karate-Do Federation).
Chini ya uongozi wa mwenyekiti Sensei Geofrey Kalonga na katibu mkuu wake Sensei Phillip Chikoko, hatuna budi kuitikia wito wa kuchangia maendeleo ya sanaa ya Karate inayohitaji nidhamu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8_GrANS25ss/U-kNhLf895I/AAAAAAAF-oU/LVnvF0Vb9dw/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya karate.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4_lRA5qXJvw/VEDm699bRVI/AAAAAAAGrK0/UwOff07P0JA/s72-c/Untitledc.png)
Tanzania: Karate Awards Five (5) Senior Instructors
![](http://3.bp.blogspot.com/-4_lRA5qXJvw/VEDm699bRVI/AAAAAAAGrK0/UwOff07P0JA/s1600/Untitledc.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PcefFVFI7VY/VEDm15dLpkI/AAAAAAAGrKc/6H__QOauPwU/s1600/Untitledd.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DWEYILBUJFM/VEDm7gF28bI/AAAAAAAGrK4/Glkx410ULPg/s1600/Untitledf.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A_i2vI7iqxc/VEDm6R4251I/AAAAAAAGrKo/kDawq9H51l4/s1600/Untitlede.png)
Top from left Sensei Dudley Mawalla founder of Shotokan Karate Tanzania, middle, Sensei Magoma Nyamuko Sarya, right, Sensei Kheri Kivuli, all three are based in Dar es Salaam,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzQdFpe-4qm8uaZbncz4sgQO44Edzq4lGiwsHL5J9LbyXR6vRicoFu0XIstBpPp4i7NQ-ncqK8KhnnTCyZU4EBKD/1.jpg?width=650)
MASHINDANO YA DUNIA YA JUDO, KARATE KUFANYIKA TANZANIA
10 years ago
MichuziSWAHILI BLUES BAND YA TANZANIA YATUA ADDIS ABABA KWA MWALIKO WA DR MULATU
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte.
Swahili Blues Band ilifika mjini...