Tanzania Kwanza yazidi kumwandama Balozi wa Ujerumani
Mwenyekiti wa Kamati ya Tanzania Kwanza ya Nje ya Bunge la Katiba, Agustino Matefu
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KUNDI la Tanzania Kwanza nje ya Bunge Maalumu la Katiba, limemtaka Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke, kuacha kutoa majibu mepesi kwa maswali mazito yanayoihusu Tanzania.
Aidha, limemtahadharisha Balozi Kochanke kama asipozionya taasisi za nchi yake zinazotuhumiwa kutoa fedha za kuvuruga Katiba mpya, wataandamana hadi nje ya ubalozi huo kushinikiza afukuzwe nchini.
Ofisa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel akutana na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani
Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe Philip Marmo nje jengo la ubalozi wa Tanzania jijini Berlin alipotembelea ubalozi huu akiwa kwenye program ya mwezi mmoja, na wenzake 8 (hawapo pichani) kutoka Chuo cha kumbukumbu ya Mwl. Nyerere.
Baada ya kutembelea ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini Berlin, Mhe. Marmo aliwaelezea historia ya ushirikiano baina ya Ujerumani na Tanzania ambapo nchi hiyo imekuwa miongoni mwa wadau wa maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cT_Dbg3aXss/XlU9uOb7C2I/AAAAAAALfVA/Zgp2BOQJKc85CysLpmBdvdIRvwNILR8zgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE, ATEMBELEWA NA BALOZI WA UJERUMANI NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cT_Dbg3aXss/XlU9uOb7C2I/AAAAAAALfVA/Zgp2BOQJKc85CysLpmBdvdIRvwNILR8zgCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-r72cNgw2Pgs/XlU9uU_UJkI/AAAAAAALfVI/dplr2Fl2iSs4pv87Da7f00FbZtXmaVAMwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4z3bUidKufM/U3zLGxGHB0I/AAAAAAAFkPg/e2MhfHtU9QU/s72-c/unnamed+(15).jpg)
balozi wa Tanzania nchini Sweeden aagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-4z3bUidKufM/U3zLGxGHB0I/AAAAAAAFkPg/e2MhfHtU9QU/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riZMsEEHAKM/U3zLHduo-GI/AAAAAAAFkPk/6KApaze5q98/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W4Ubr1Nop0Q/VEOMDKdJmGI/AAAAAAAGr6k/11eeo4mChtU/s72-c/287.jpg)
BALOZI IDDI AKUTANA NA BALOZI WA UJERUMANI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-W4Ubr1Nop0Q/VEOMDKdJmGI/AAAAAAAGr6k/11eeo4mChtU/s1600/287.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vz2DJWSnAcg/VEOMDYdvXSI/AAAAAAAGr6o/18KBnIVZ7zo/s1600/298.jpg)
9 years ago
Habarileo02 Jan
Ligi daraja la kwanza yazidi kunoga
LIGI daraja la kwanza inatarajiwa kuendelea tena leo kwa michezo tisa katika viwanja tofauti. Ashanti United itamenyana na Polisi Dodoma kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, mechi inayotarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuachana kwa mbali kwenye msimamo kwenye kundi A.
9 years ago
Habarileo03 Jan
Ashanti yazidi kung’ara daraja la kwanza
TIMU ya soka ya Ashanti United jana iliifanyia kitu mbaya Polisi Dodoma baada ya kuchapa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Karume Ilala Dar es Salaam. Dalili za Ashanti kushinda zilionekana tangu mwanzo kwani ilitawala mchezo karibu maeneo yote.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Pinda akutana na Balozi wa Ujerumani
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. Kulia ni Naibu Balozi wa Ujerumani nchini, Hans Koeppel. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
Vijimambo31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi