Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASNIA YA UTANGAZAJI SASA IMEINGILIWA!

KWENU, Watangazaji wa kike Bongo. Poleni na kazi za kila siku na hongereni kwa namna mnavyojituma kuhakikisha gurudumu linasonga mbele. Nimeona leo ni vyema niwakumbuke kwa barua yenye lengo la kukumbushana kuhusu weledi wa kazi yenu ya utangazaji. Nianze kwa kusema kwamba, kiukweli baadhi yenu ni kama mmevamia fani!
Heshima ya utangazaji iliyokuwepo zamani imeanza kupotea! Kuna watangazaji wanatia kinyaa. Yaani wamegeuza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASTARA TASNIA YA FILAMU IMEINGILIWA NA PEPO

Stori: Gladness Mallya MSANII anayefanya vizuri kunako kiwanda cha filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba tasnia ya filamu kwa sasa inaonekana kama imeingiliwa na pepo mbaya kutokana na mambo kwenda ndivyo sivyo kila kukicha. Msanii anayefanya vizuri kunako kiwanda cha filamu Bongo, Wastara Juma.
Akizungumza na gazeti hili, Wastara alisema tasnia ya filamu imekuwa ni ya migogoro, chuki huku bei ikishuka  jambo ambalo...

 

9 years ago

Dewji Blog

JK aomboleza kifo cha aliyekuwa mmoja wa magwiji wa Tasnia ya Utangazaji nchini Mzee Godfrey Mngodo

7A622D00-E6E7-4347-A206-CBCD3C13A372_w640_r1_s

Marehemu Mzee Godfrey Mngodo enzi za uhai wake.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha aliyekuwa mmoja wa magwiji wa Tasnia ya Utangazaji nchini Mzee Godfrey Mngodo ambaye alifariki dunia, Ijumaa, Septemba 11, 2015 mjini Dar es Salaam.

Katika salamu zake za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na taarifa za kifo cha...

 

10 years ago

Michuzi

Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali


1.0   Utangulizi:


Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Nkamia akumbuka enzi za utangazaji

Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, juzi alikonga nyoyo za watu pale alipoamua kukumbushia enzi zake za kutangaza mpira.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Na Beatrice Shayo 29th August 2015 Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), imetoa onyo kali kwa Shirika la Utangazaji (TBC1) kwa kuchambua vichwa vya habari vya magazeti […]

The post Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Bongo5

Avril afikiria kuingia kwenye utangazaji wa TV

11934732_674761035993224_863885011_n

Muimbaji wa Kenya, Avril huenda siku za usoni akaonekana kwenye screen yako akiendesha kipindi cha TV.

12145175_686805931419572_2121712968_n

Avril ameiambia Word Is ya gazeti la The Star la Kenya kuwa amekuwa akifuatwa na watu wengi wanaompa ofa ya kufanya talk show lakini bado hajazitilia maanani.

Yeye mwenyewe pia amesema kwa muda mrefu amekuwa akivutiwa kuendesha kipindi cha TV na kuna uwezekano wa kufanya hivyo siku za usoni.

“Ingawa muziki ni kitu ninachokipenda zaidi, nimewahi kupenda televisheni pia. Labda siku za usoni...

 

10 years ago

Habarileo

Nguli wa utangazaji Beni Kiko afariki dunia

ALIYEKUWA mwandishi wa habari na mtangazaji wa Redio Tanzania (RTD) sasa TBC, Ben Kikoromo (72) maarufu kama Beni Kiko, amefariki dunia juzi usiku katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya ugonjwa wa figo.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasoro zachelewesha utangazaji matokeo Iringa Mjini

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Iiringa mjini Ahmed Sawa ameahirisha kutangaza matokeo ya ubunge katika jimbo la Iringa mjini  na kuahidi kuyatangaza kesho baada ya kurudiwa kwa uchaguzi katika kituo cha ipogolo c namba mbili manispaa ya Iringa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani